Unstoppable
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 1,046
- 384
Sasa huyu Mapunda akifia mikononi mwa madaktari si itakuwa balaa- (propaganda nyingine itazinduliwa). Ee Mungu uepushe hii balaa.unapopewa kazi ni lazima uikamilishe la si hivyo unakuwa umeenda kinyume na amri,adhabu inayofuata ni.......
Naamini wote waliohusika kumteka,kumtesa na kushindwa ku-terminate maisha ya ulimboka watapotezwa for the sake of national security.