Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
Namtakia heri apone haraka, naye ni bindamu tusimhukumu hakuna ushahidi
Ni kumtendea wema tu .Ila kama maumivu yake ni makali na yanampa kilio basi wamdunge sindano ambazo hata jeshini vitani huwa zinatumika kama majeruhi anaonekana kuteseka sana na jeraha.