I cannot list them here but do your research on oil and gas companies operating in tzCan u plz list those companies u saw was registered in Mauritius......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I cannot list them here but do your research on oil and gas companies operating in tzCan u plz list those companies u saw was registered in Mauritius......
OK Sawa ila Faiza siku hizi umebadilisha pc au simu maana auto spelling inakukosesha sana.Hapana si kweli. Soma afisa wa TRA anasemaje kwenye post namba moja.
Walichpfanya si kosa.
Kama tunazitaka hizo pesa zibaki TZ tubadili tu viwango vya kodi nilishawahi kupendekeza ifanywe 10% across. Uone kama kuna mfanya biashara wa Tanzania ataanzisha offshore company. Tena tuta attract na wafanya biashara kibao wa njr ya Tanzania.
Mradi tuwe na ustahamilivu kama Mauritius. Si unaona hito article mabeberu wanavyoiandama?
Hakuna kosa hapo kwa kampuni za Tanzania hapo kuna "kosa" la kupikwa na mabwana wakubwa zenu. Pesa zilikuwa zinawekwa kwao sasa wanakasirika.
Nikuonyeshe mimi wakati hata ripoti yenyewe hujaisoma? Wasomi wa kitanzania hao!!! Halafu huoni kama kuna swali limeulizwa kwanini siku chache baada ya RA kuibadilisha Mihani Gas na kuiita Taifa Gas, imenunuliwa na kampuni kutoka Mauritius? Taifa Gas kwani ya nani?
Acha mambo ya kujikunyata kunyata nyuma ya watu. Tafuta sehemu yako halafu utukaribishe tukuone. Kila uchao ukiona jina lenye dini yako, hutaki tuulize maswali hata kama yapo
Poor mind!!!!!!Acha wivu na ushamba. Mwanaume anatafuta, anahangaika, wewe unataka pesa ikujie kitandani umelala? Tafuta za kwako. Mijitu mingine mijinga sana.
Kweli Faiza foxy ,hapo hakuna kosa kisheria ,kosa ni jinisi ulivopata pesa za kuweka huko,je niza halali au ufisafi?Hapana si kweli. Soma afisa wa TRA anasemaje kwenye post namba moja.
Walichpfanya si kosa.
Kama tunazitaka hizo pesa zibaki TZ tubadili tu viwango vya kodi nilishawahi kupendekeza ifanywe 10% across. Uone kama kuna mfanya biashara wa Tanzania ataanzisha offshore company. Tena tuta attract na wafanya biashara kibao wa njr ya Tanzania.
Mradi tuwe na ustahamilivu kama Mauritius. Si unaona hito article mabeberu wanavyoiandama?
Hakuna kosa hapo kwa kampuni za Tanzania hapo kuna "kosa" la kupikwa na mabwana wakubwa zenu. Pesa zilikuwa zinawekwa kwao sasa wanakasirika.
Kuna nchi ni 5%hadi 20%,Angola,Ireland,botswana and otherHebu niambie viwango vya kodi katika nchi zingine hata za dunia ya kwanza vikoje hasa corporate tax ukiachilia mbali hizo tax havens kama Mauritius, Virgin Islands, Isle of Man, Cayman Island and the like. Najua corporate tax/income tax rates duniani nyingi ni kati ya 25 na 45, ukiachilia mbali Tax Havens!
As far as I know the three unmentioned companies will be said to be owned by Kinana!!!!!!!!
Besides the point, but the first part - just before "The Companies" - could do with some editing.
Reading of the one company, Ubungo, their defense sounds plausible. Could they be lying? Did they actually receive the funds before re-registering as an NPE? Wataalamu wa uchumi mtudadavulie tafadhali. It would be such a shame if Ubongo Kids is found guilty of this. I love their work.
As I was reading this, I couldn't help recalling:
View attachment 1160047
How I wish Tanzania was also a tax haven countries. I am sure, it we could pull it in that direction, our beloved country and people won't suffer this much in poverty.
Unfortunately, we, as a nation, including our president, seems to love poverty and suffering.
We have seen time and again our president is singing the song of poverty and suffering, sinking it in our children's mindset, calling it us to join his war against the rich and the successful.
Nyerere was indeed better in words, by declaring a war on poverty, diseases, and stupidity. Unfortunately, his actions failed him and the nation.
Simply ...a duck....chezea manguli weye mzee baba...If it talks like a duck, walks like a duck and looks like a duck? 😅