kigogo warioba
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 6,048
- 9,392
Wakuja ndio taifa LA wapi hilo?😱😰😂Wewe Kiswahili chako cha wakuja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakuja ndio taifa LA wapi hilo?😱😰😂Wewe Kiswahili chako cha wakuja.
"The return of the Prodigal Son"He has repent and returned what he had acquired through illegal, back doors. By the way, we are all sinners
Nimeongea Zanzibar katika context ya dhambi na sheria. Mbona leo umekuwa mgumu hivyo kuelewa. Naona wamepiga ikulu kijana!!Dhambi ya kitabu kipi?
Watu wanaongea ya Mauritius wewe unaongea ya Zanzibar kama si ujuha nini huo?
Hiyo avatar huyo ni mwanamama wa Kamarekani hana uhusiano na Zanzibar kabisa.
Siasakali wà tupuAmong those names were business mogul, Rostam Aziz, Quality Group Limited CEO Yussuf Manji, politician and Member of Parliament for Morogoro – through ruling party, CCM - Abdul-Aziz Mohamed Abood, and the head of Kilimanjaro Safaris Eric Pasanisi.
Poleni sana sisi wengine tuliona kuwa mmetuletea janga tangu akiwa Waziri hatukuwa tunamkubali ndio maana kwenye uchaguzi kanga zilipokuwa zinapeperushwa kwaajili yake tuliyajua haya! sema wadanganyika wengi wako kama kenge mpaka damu imtoke ...huyo ndugu anaamini kuongoza watu ni kumwaga Omo believe me hakuna atakachofanikiwa!Mimi sijui jamani huwa Kuna saa nampendaga tu JPM ila nilivyoona Rostam Ikulu mwili ulisisimka kwa kweli nilihisi hatuachi wala hatatuacha salama hata kidogo. It a matter of time Rostam atatuuza wazima wazima. Yaani JPM please mwanga lie huyu mtu kwa macho ya kiroho sio Ya kiuchunguzi, au ya kibinadamu tumekwisha
Nikuonyeshe mimi wakati hata ripoti yenyewe hujaisoma? Wasomi wa kitanzania hao!!! Halafu huoni kama kuna swali limeulizwa kwanini siku chache baada ya RA kuibadilisha Mihani Gas na kuiita Taifa Gas, imenunuliwa na kampuni kutoka Mauritius? Taifa Gas kwani ya nani?Hebu ñioneshe hiyo ripoti wapi imesema Rostam kafungua kampuni Mauritius, labda pamenipita!
Naona unampa ya medulla oblongata! Hizo si za uso bali za medullaNikuonyeshe mimi wakati hata ripoti yenyewe hujaisoma? Wasomi wa kitanzania hao!!! Halafu huoni kama kuna swali limeulizwa kwanini siku chache baada ya RA kuibadilisha Mihani Gas na kuiita Taifa Gas, imenunuliwa na kampuni kutoka Mauritius? Taifa gas kwa ni ya nani?
Acha mambo ya kujikunyata kunyata nyuma ya watu. Tafuta sehemu yako halafu utukaribishe tukuone. Kila uchao ukiona jina lenye dini yako, hutaki tuulize maswali hata kama yapo
The language used is the barrier. We cannot urge or make our points in this language which came to our land by adventuring sailors, in 1500sHahahahahaha Come out JF members...lets discuss this...tehtehtehte
Hawa ndio wamefanya siasa imejaa wanafiki. Kumbe wanataka kula tuNaona unampa ya medulla oblongata! Hizo si za uso bali za medulla
For several years I've been asking myself why most companies in Tanzania (MNCs) are registered in mauritius, that is are operating from mauritius. Now I know the reason. Can you please send more names please
Hapana si kweli. Soma afisa wa TRA anasemaje kwenye post namba moja.Kumbe nilikuwa sawa kuwachana walikwepa sana kodi pindi imeanzishwa sijui sasa hivi