JF EXCLUSIVE: DOWANS vs TANESCO, the saga continues!

Mkuu I don't agree with what President Kikwete said, if he really said that. We have very competent lawyers in our country. The problem is we don't use them. Tuna maprofesa wazuri tuu on contractual issues. Tofauti na watu wanavyofikria, the issue does not lie with the agreement between Dowans and Tanesco. Issue iko kwenye sheria yetu ya arbitration. Inasema kuwa uamuzi wowote utakaotolewa na Tribunal utakuwa wa mwisho. Hii ina maana hautatenguliwa na mahakama yoyote ile.

Sasa wakati Tanesco wanaingia kwenye mkataba na Dowans, what they did was to copy and paste the clause from our arbitration Act to the effect that the arbitral award should be final and binding. Kama sheria yetu ingekuwa updated kwa kuondoa neno "final", then wasingeweza kukubaliana kuwa the award should be final.

On what is the way out for Tanesco and Tanzania as a country in this case, the answer is simple: there is no a way out. We have to pay Dowans the amount awarded by the Tribunal. The more we delay making the payment, the more it will cost us. Imagine kwa hii kesi tuu Tanesco imeamriwa kulipa dola milioni 5 kama security ili kuhairisha kesi mpaka Decemba 2011. Bado hujaweka gharama za kumwajiri mwanasheria ya Uingereza kuwakilisha Tanesco mahakamani. Where will Tanesco get this money wakati hawana hata umeme wa kuuza?
Mkuu ni kweli alisema, na hoja yake ni kutafuta sababu tu. Miaka yote ya utumishi kati ngazi ya uwaziri hakuwahi kugundua hili? Mwanasheria mkuu ambaye ni mshauri wake hakuliona hilo na alimshauri nini. Kwanini asianze na kutafuta mwanasheria mkuu (AG) kutoka nje. Kesi ilipounguruma si walijua kuwa tuna wanasheria dhaifu (kama ni kweli) ilikuwaje wakamtuma yule wa Tanesco kwenye kesi kubwa kama ile ikiwa walijua kuna udhaifu.
Mambo yote yanajadiliwa katika baraza la mawaziri, je hawakuona udhaifu huo.

Kwa kujua hatuna wataalamu kulikuwa na shida gani kutafuta kutoka nje? mbona wao wakiugua wanakwenda kutibiwa na wataalam nje ya nchi.
Kuhusu copy and paste, mkuu sio kama walifanya hivyo kwa bahati mbaya, walijua kabisa lakini 10% ilishatembea. Tunakumbuka Dr Mwakyembe alisema hata mwanafunzi wake angeshinda kesi,ipo namna si kuwa hawakujua walifanya nini.

Kama wataalamu wa sheria wana walakini, je wanasiasa wanaofanya maamuzi ni competent? Rais katika kamati kuu alisema lazima walipwe, alipokwenda kuonana na wabunge akasema hawalipwi! sasa hapa ametumia wanasheria kumshauri, na kama yeye anayumba kiasi hicho tutegmee nini inapofikia hapa.

Mkataba uliohamishwa kutoka Richmond kwenda Dowans, hivi kweli ni jambo linalohitaji mwanasheria kutambua makosa! Rais alishajua kuwa kampuni haikuwepo hapo alihitajika elimu gani kubwa kiasi hicho cha kutambua kuwa yapo matatizo.
Nani amewajibika kwa suala hili kisheria. Kama tatizo ni wanasheria mbona upuuzi huo umejirudia TRL ingawa ni kwa namna tofauti.

Nakubaliana nawe kuwa wapi ambapo katika mikataba yetu tumeona wataalamu waliobobea kama maprofesa wakishirikishwa?

Kinacholiumiza taifa ni rushwa ya hali ya juu kwa viongozi wa serikali, na hakukuwa na dhamira ya kulimaliza suala hili kwa manufaa ya taifa.
Huwezi kuliongelea jambo hili bila kuwahusisha mapacha, baraza la mawaziri ambalo kiongozi wake ni Rais.Kwa mchanganyiko huo nani atamfunga paka kengele! na kwanini tuwalaumu wanasheria kwa makosa ya siasa yaliyosabababishwa na uingiliaji.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
The facts is: CCM refused to reveal who real brought DOWANS to Tanzania and nani alicheza hii deal na kutaka ku-blame the whole country on this. This is not going happen in our watch. Aliye-sign huu mkataba ni nani? Aliyekuwa mshahuri wa Tanesco/serikali kuingia huu mkataba ni nani?

Majibu mengi yapo na tunajua kwa upande wa Rostam yeye alikubali kama ni consultant wa DOWANS Tanzania wakati huo huo akiwa mbunge wa Taifa. How come CCM ina wabunge waliochaguliwa (fake as we know) na badala ya kufanya kazi kutetea Taifa ili lisijiingize kwenye hii mishimo ya debt crisis wao wakwanza kuleta deals mbovu ili lolote likitokea wananchi waishie kulipa? Facts zipo Rostam ali-lobby hii deal ofisi ya raisi mpaka ikapita na sasa tutaona sababu kubwa zilizomfanya aondoke na kujitoa ktk ubunge.

This isn't the end until Kikwete na serikali yake waje mbele ya nchi na kuonyesha record zote za deals za dowans na serikali ya Tanzania. Tunajua zipo deals nyingi sana Tanzania kama hizi...
 
Habari zilizopatikana zinadai kwamba mawakili wa Matrix ya Uingereza walidai kulipwa fedha za utangulizi kutoka Tanesco kiasi cha Paundi 500,000 za Uingereza zaidi ya Sh1 bilioni na kwamba fedha hizo zilikuwa katika mchakato wa kulipwa.

Source: Mwananchi
 
niweze;2375473]The facts is: CCM refused to reveal who real brought DOWANS to Tanzania and nani alicheza hii deal na kutaka ku-blame the whole country on this. Aliye-sign huu mkataba ni nani? Aliyekuwa mshahuri wa Tanesco/serikali kuingia huu mkataba ni nani?
Majibu mengi yapo na tunajua kwa upande wa Rostam yeye alikubali kama ni consultant wa DOWANS Tanzania wakati huo huo akiwa mbunge wa Taifa.
This isn't the end until Kikwete na serikali yake waje mbele ya nchi na kuonyesha record zote za deals za dowans na serikali ya Tanzania. Tunajua zipo deals nyingi sana Tanzania kama hizi...


EMT
;2387766]Habari zilizopatikana zinadai kwamba mawakili wa Matrix ya Uingereza walidai kulipwa fedha za utangulizi kutoka Tanesco kiasi cha Paundi 500,000 za Uingereza zaidi ya Sh1 bilioni na kwamba fedha hizo zilikuwa katika mchakato wa kulipwa.Source: Mwananchi
Hili la kukataa kusema nani anahusika sasa limekuwa utamduni.
  • Marehemu Daudi Bilal amefariki bila kujua alikuwa na nini moyoni. Tukafichwa hadi tulipoambiwa kafariki. Kila kitu kilikuwa ni siri, EPA ikafikia kikomo na hatutajua nini kimetokea.
  • ShailesheiVithlani yupo duniani kila wakiulizwa wanasema interpol inamtafuta lakini anajulikana yupo wapi anafanya nini.
  • Serikali ya Kikwete imesema haijui Kagoda ni nini na wameiba nini, ingawa haihitaji interpol na nyaraka na wahusika wapo.
  • Richmond haijulikani ni nini na ilidhuru vipi serikali na wananchi wa Tanzania. Hakuna anayejua ingawaje PM alijiudhulu.
  • Gire ameshinda kesi isiyohusiana na Richmond na hiyo imepita.
  • Merememeta ni siri ya jeshi na hatutajua nini kimefanyika.
  • DOWANS ni kama hapo juu, hatutajua nani amehusika hata kama wapo. Rostam alikana hana uhusiano na Dowans halafu akakubali.
  • Haya yote na mengine ni chini ya uongozi wa Rais Jakaya Mrisho Kikwete.
Mwisho wake tunatafuta mawakili kwa pesa za walipa kodi, yaani tulipe wanasheria ili tushinde kesi ya wezi. Kwa maneno mengine tunawawekea wezi mawakili,wezi wakiwa wameshachukua chao na wanatumia pesa hizo hizo kununua maekari ya mashamba kutoka kwa masikini wale wale waliolipa ada ya wanasheria kwa kesi zao. Haya yote ni chini ya Uongozi wa Rais JK. Kikwete.

Tunakopa pesa na madeni kwa watoto wetu kwa umeme wa dharura, tunapindishiwa bei za umeme kwa makosa yasiyo yetu na ya makusudi.
Rais wa nchi yupo pembeni utadhani yanatokea India au Singapore.
Kama hatutasimama na kuzitetea nafsi zetu tukisubiri wabunge wa CCM basi wataendelea kuimaliza nchi yetu tunaona.
Mwisho tutalipa kodi ili zilipe mafao yao mazuri sana wakishamiliza miaka 10 ili wajazie 10%. Maisha ya vizazi vyao yanaimarika na kupendeza

Tudumishe amani na utulivu uliodumu kwa miaka mingi. Wajibu wetu ni kulipa kodi.
 
Old stories hakuna jipya ...wanataka ku-deviates attention yenu kwenye mambo haya..
 
Mkuu mi hayo maungwini ya kisheria huwa yananipa headache kweli. Hebu niambie kwa kifupi, ni nini kinaendelea kuhusu hii kitu ya DOWANS na TANESCO?
 
My Take.
Wana bodi wenzangu, hii ni issue ya kisheria na sio kisiasa, nawashauri tupunguze kidogo politics kwenye masuala ya kisheria. Niliwahi kusisitiza, ule mkataba ni mkataba bomu, Tanesco walijifunga na hawana pa kutokea dawa ni kulipa tuu!.

Ila pia naungana na hoja za Tanesco kuwa wao hawalipi kwa vile aliyewaingiza kwenye mtego huo ni serikali, hivyo ni jukumu la serikali kulipa na sio Tanesco.

Nyerere angekuwa ni rais wa nchi hii, tungevunja uhusiano na ICC, tusingelipa chochote!, mitambo tungetaifisha!, hao wawekezaji wa ulaya wangefungasha virago vyao na kwenda makwao wakatengeneze dhahabu na gesi zao huko viwandani kwao. Wachina wangetuletea teknolojia ya kuichimba dhahabu yetu, gesi yetu na mafuta yetu huku faida asilimia 100%, ikibaki ni mali yetu, kuliko sasa wanavyochimba hawa maharamia kwa jina la waweklezaji, wakikomba asilimia 98% huku wakituachia asilimia 2% eti ndio royality!.

Lakini kwa vile siye yeye, waliopo wanaheshimu utawala wa sheria, wawekezaji ndio tunawanyenyekea na kuwalamba miguu, amini nawaambieni, Tozo tutalipa, tena sio Tanesco, bali serikali kwa kodi zetu!.
Hili ni bandiko la mwaka 2011, miaka 11 iliyopita, kuna kitu nilikisema, leo nimekithibisha, nilisema dawa ya deni ni kulipa!. Serikali Awamu ya 6, imelipa hili deni, na sasa mitambo ya Simbion ni Mali yetu.

Uthibitisho umepatikana from chanzo mamlaka.

Wewe as mwana JF, be the first to know, tozo ya Dowans tumelipa every cent, mtambo sasa ni mali yetu.
P
 
Mkuu Pasco: Napingana na wewe kwa nguvu zote kuhusu hapo nilipo-highlight na red. Serikali hii katu haina utawala wa sheria na mifano ambayo ipo ni mingi sana, nawe unafahamu fika. Hili suala la Dowans kwa kuwa linahusu ulipwaji wa pesa na kuna watu fulani humu nchini ni beneficiary, basi ndiyo kunaletwa hii ya kusema kwa kuwa utawala huu unafuata sheria, basi ni sharti tozo hiyo ikalipwa.
Watu wamelipwa, na kufanya acquisition ya mgodi wa madini ya thamani kuliko madini yote!.
Kwa mambo mengine hatusikii kuletwa hiki kitu "utawala wa sheria". Serikali hii imekuwa ikikaidi hukumu za mahakama zake zenyewe hapa nchini zilizowekwa kikatiba na wala haijali, na wala akina Pasco hatujawasikia wakisema. Mfano ni kesi ya Valambia. Lakini kwa hukumu za mahakama za nje hata kama ni za binafsi kama vile hiyo ICC (isichanganywe hapa na ile ICC ya The Hague) basi serikali inakuwa na uchu mkubwa sana wa kulipa, na kuandaa wapambe chungu nzima kuipigia debe kwamba lazima utawala wa sheria ufuatwe.

Suala la pili ni serikali kutowachukulia hatua wale waliotufikisha hapo kwani wanajulikana -- akina Karamagi & co. Dola 65m ni nyingi sana kwa serikali kuingizwa mkenge na watu wachache. Jee, Pasco, kwa nini usiipigie debe suala hili kwamba serikali hii yenye kufuata 'utawala wa sheria' ni lazima iwafikishe mahakamani wachache hawa kwa kuliingzia taifa hasara?

Nawasilisha.
Hili neno!. This is the role of the vibrant media kufanya IJ, kwanza aliyelipwa tozo ya Dowans ni nani, waliotufikisha hapa wamefanywa nini?.
P
 
Back
Top Bottom