Jf doctor msaada tafadhali

liman

Member
Mar 25, 2010
29
4
Abari za kazi,nina tatizo la mkojo yani kuna wakati nakojoa mkojo kma wa moto vile unaambatana na maumivu kwa mbali,lakni wakati mwingne nikinywa vitu kama maji,bia nakojoa mkojo wa kawaida tena mweupe,hospt walicheki wakaniambia huna tatizo,naombeni msaada wenu ndugu zangu.
 
Labda huna utaratibu wa kunywa maji mara kwa mara, kama ni kweli basi jijengee huo utaratibu. Siyo mpaka uwe na kiu!
Huo ni mtazamo wangu tu, ila natumaini JF doctors watakusaidia kitaalamu zaidi..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom