Abari za kazi,nina tatizo la mkojo yani kuna wakati nakojoa mkojo kma wa moto vile unaambatana na maumivu kwa mbali,lakni wakati mwingne nikinywa vitu kama maji,bia nakojoa mkojo wa kawaida tena mweupe,hospt walicheki wakaniambia huna tatizo,naombeni msaada wenu ndugu zangu.