Jf Chit chat! Special Thread: Chrismass & New Year 2014 Wishers!!

kiwatengu

Platinum Member
Apr 6, 2012
17,456
14,383
Wana Chit Chat!
Msimu wa sikukuu ndiyo umefika sasa.

Naamini kila mmoja kwa namna yake ataenjoy na kufurahia sikukuu hizi.

Sasa kwa kupitia huu uzi, naombeni tupeane wishers zetu.

Wenye maua na mivuto mingine ya Ujumbe wa kiholidays!
Tupia hapa tufurahie pamoja.
Tupia hapa na salamu zako,
Za sikukuu!!

35968_140677545972002_7050969_n.jpg
Marry Christmass and Happy New Year
2014..

http://www.xmasclock.com/
 
Wana Chit Chat!
Msimu wa sikukuu ndiyo umefika sasa.

Naamini kila mmoja kwa namna yake ataenjoy na kufurahia sikukuu hizi.

Sasa kwa kupitia huu uzi, naombeni tupeane wishers zetu.
Wenye maua na mivuto mingine ya kiholidays!
Tupia hapa tufurahie pamoja.

Marry Christmass and Happy New Year 2014..

Merry Christmas and Joseph New Year to all!
 
Asante hommie Kaizer....
Nakutakia sikukuu njema...na mwaka uanze kwa mwanga wa matumaini! Asprin, Teamo, fidel80, Bigirita, MwanajamiiOne, Rose1980, Askofu, Maty, @GY, Kimey, The Finest nikumbukeni kwenye ufalme wenu....I mean I can definitely use a pint of beer from you!

Dark City, nakutakia mema mzee mwenzangu....sasa sijui ufanye mchakato tukawalaani wakazi wa Kigali???


 
Last edited by a moderator:
Asante sana Mkuu Kaizer
Heri hizo zikurudie na wewe na uwe na msimu mzuri wa sikukuu ya Xmass na Mwaka Mpya weney mafanikio na wenye baraka za Mungu
Kwa akina Arushaone, Erickb52, Nicas Mtei, Mentor, kiwatengu, Mamndenyi, Preta, Lady doctor, sweetlady, snowhite, King'asti, Heaven on Earth, Madame B, Zion Daughter, gfsonwin, AshaDii, sosoliso, mwallu, Mwalu, Paloma, Passion Lady, charminglady, Blaki Womani, Lily Flower, Chocs, amu, Husninyo, Dena Amsi Vin Diesel, Mkirua, TANMO, SIMplicity, stevoh, BAK, Jiwe Linaloishi, , Filipo, Bishanga, Asprin, Dark City, Paw, Invisible, Moderator, Mzee wa Rula, PakaJimmy, Mungi, RUTashubanyuma, Ruttashobolwa, nawatakia kila la heri katika kuumaliza mwaka salama na kuuingia mwaka mwingine wa 2014
 
Last edited by a moderator:

Kaizer sitaki kujua ni kwanini umeninyima salamu. Nakutakia sikukuu njema sana.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

21 Reactions
Reply
Back
Top Bottom