Pape
JF-Expert Member
- Dec 11, 2008
- 5,488
- 79
Jamani kuna habari nyingi ambazo zimeandikwa au kujadiliwa humu JF lakini baada ya muda nazisoma katika magazeti ya udaku na vyombo mbali mbali vya habari nchini! Je, ina maana kwamba JF ni kitivo cha habari au JF ina kopi na kupesti?
Kama magazeti ya udaku yanachukua habari humu JF mbona hawataji 'source: JF'??
Kama magazeti ya udaku yanachukua habari humu JF mbona hawataji 'source: JF'??