Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 32,996
- 52,376
Ooh..Yes ofkozi!Hivi ndivyo unapaswa kuwa GT!Yeah...Yeah!Umeona mkuu?ya of corse hata mm huwa sipendagi ku coment jf nikiwa na drive,,,ahaaaaa,, watu wanambwembwe,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ooh..Yes ofkozi!Hivi ndivyo unapaswa kuwa GT!Yeah...Yeah!Umeona mkuu?ya of corse hata mm huwa sipendagi ku coment jf nikiwa na drive,,,ahaaaaa,, watu wanambwembwe,
Mtu ambae anaona mwingine kuwa na gari ni tajiri dunia ya leo ni suala la ajabu sana.
ya of corse hata mm huwa sipendagi ku coment jf nikiwa na drive,,,ahaaaaa,, watu wanambwembwe,
Dah....acha ujinga bana...nani kakuzuia kujua kimalkia...kujenga au kumiliki ndinga?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nani kasema anamuona mtu mwenye gari ni tajiri?Sema wenye magari ndo wanajiona matajiri
Sent using Jamii Forums mobile app
Bongo ya mleta mada inaamini ukimiliki gati we tajiri, ukiongea kiingereza umesoma sana wakati hata Diamonda anaongeleza. With all due respect this is the hopeless thread i ever viewed.
Kwahiyo kama ww huna gari unadhani ndio kila mtu?..pambana na maisha nawewe utamiliki lako siku moja
Wangekuwa wanajiona matajiri wangeleta thread kama hii kuwakandia wasio kuwa nayo. Ila wewe unayewaona wenye gari matajiri umekuja kufungua uzi.Nani kasema anamuona mtu mwenye gari ni tajiri?Sema wenye magari ndo wanajiona matajiri
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu niamini mimi. Bongo yako ingekuwa fiti usingeleta uzi kama huu. Kama huamini jaribu kugoogle mada kama yako uone kama utakutana na hii kitu.Narudia tena kusema,sijaongelea suala lolote la utajiri,wala hamna neno utajiri katika uzi wangu,sema nini watu wanaomiliki magari na kuongea kimalkia ndo wanajifanya life wamelipatia.
Mwisho,bongo yangu iko fit kuliko ufit wenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani unapata tabu mkuu, au bundle wanao kjnunulia ni wakina nani?Kingine humu ndani kila mtu anafanya kazi ofisi flan ghorofan juu full AC,mshahara sio chini ya milioni,
Sent using Jamii Forums mobile app
Wangekuwa wanajiona matajiri wangeleta thread kama hii kuwakandia wasio kuwa nayo. Ila wewe unayewaona wenye gari matajiri umekuja kufungua uzi.
Mimi sina gari, ila napomuona mtu ana gari ananipa hamasa ya kuzidi kupambana ili siku moja na mimi nimiliki. Kumchukia aliyekuzidi mafanikio hakujawahi kuwa msaada kwenye mihangaiko yetu. Sana sana Chuki itakuletea msongo.
Acha kelele. Mbona wengine tupo maandishi matatu na hatusemi kitu?!
Mkuu niamini mimi. Bongo yako ingekuwa fiti usingeleta uzi kama huu. Kama huamini jaribu kugoogle mada kama yako uone kama utakutana na hii kitu.