
- Joined
- Sep 29, 2016
- Messages
- 330
- Likes
- 329
- Points
- 80

koba lee
JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2016



Humu kila mtu anajua kaenglish,akiandika sentensi mbili tatu utaona kimalkia,mnatupa tabu sisi tulioishia la nne
Kingine, kila mtu kajenga anamiliki ndinga kali, dadeki mi nawachora tu.
Ni hayo tu kwa uchunguzi wangu mfupi!!
Asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app
Kingine, kila mtu kajenga anamiliki ndinga kali, dadeki mi nawachora tu.
Ni hayo tu kwa uchunguzi wangu mfupi!!
Asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app