Wana JF
Nimekua nikipitia jukwaa hili la businesss and economy na kukutana na mawazo mazuri sana ya biashara kutoka kwa members wengi
Naomba nitoe wazo la kuanzishwa kwa mashindano ya mawazo mazuri ya biashara kwa members wa JF
Mashindano haya yanaweza kuratibiwa kwa ushirikiano na UDEC (University of Dar es salaam Entrepreneurship Center)
Mashindano haya ya mawazo ya biashara yatakuwa ni challenge kwa wote wenye mawazo mazuri na chachu ya kuwawezesha ili mawazo hayo yaweze kutekelezeka na kufanikiwa
Mashindano haya basi yanaweza kuwa katika madaraja mbali mbali kutokana na kiasi cha mtaji wa kuanzisha biashara, yaani kunaweza kuwa na daraja la kwanza ambalo ni biashara mpaka Tsh. 25m, daraja la pili mpaka Tsh. 15m na daraja la tatu mpaka Tsh. 5m, pia kunaweza kuwa na washindi maalum (special category) kama vile kilimo na ufugaji, mazingira na utalii
Mashindano haya yanaweza kupata udhamini kutoka makampuni na wafadhili kama airtel, TPSF, TBL, SIDO, UNIDO, TCCIA, TIB, NMB na wengine wengi
Mashindano haya pia yatatoa fursa za kutoa elimu ya ujasiriamali kwa washiriki, mentorship, networking, market opportunities, financial assistance opportunities na kuwawezesha washiriki kuwa marafiki wa mabenki na taaasisi za kifedha kwa kuwafanya kuwa wanakopesheka
the competition is suggested to be 80% online
nawakilisha
Nimekua nikipitia jukwaa hili la businesss and economy na kukutana na mawazo mazuri sana ya biashara kutoka kwa members wengi
Naomba nitoe wazo la kuanzishwa kwa mashindano ya mawazo mazuri ya biashara kwa members wa JF
Mashindano haya yanaweza kuratibiwa kwa ushirikiano na UDEC (University of Dar es salaam Entrepreneurship Center)
Mashindano haya ya mawazo ya biashara yatakuwa ni challenge kwa wote wenye mawazo mazuri na chachu ya kuwawezesha ili mawazo hayo yaweze kutekelezeka na kufanikiwa
Mashindano haya basi yanaweza kuwa katika madaraja mbali mbali kutokana na kiasi cha mtaji wa kuanzisha biashara, yaani kunaweza kuwa na daraja la kwanza ambalo ni biashara mpaka Tsh. 25m, daraja la pili mpaka Tsh. 15m na daraja la tatu mpaka Tsh. 5m, pia kunaweza kuwa na washindi maalum (special category) kama vile kilimo na ufugaji, mazingira na utalii
Mashindano haya yanaweza kupata udhamini kutoka makampuni na wafadhili kama airtel, TPSF, TBL, SIDO, UNIDO, TCCIA, TIB, NMB na wengine wengi
Mashindano haya pia yatatoa fursa za kutoa elimu ya ujasiriamali kwa washiriki, mentorship, networking, market opportunities, financial assistance opportunities na kuwawezesha washiriki kuwa marafiki wa mabenki na taaasisi za kifedha kwa kuwafanya kuwa wanakopesheka
the competition is suggested to be 80% online
nawakilisha