Jf-arusha wing...safari updates

PakaJimmy

JF-Expert Member
Apr 29, 2009
16,203
8,723
Wana-JF wa Arusha,
Wababa :Enda-Subhai!
Wamama :Endakwenya!
Wote :Subhati Ngerai, habari-ya-Ngaji?..Engai Engoitoi!...poleni sana!
Wapendwa,
Nia yangu si ubaguzi wa Makabila au maeneo, lakini kama mjuavyo, Maasai ndio mila/kabila PEKEE linalojaribu kushindana na kasi ya mabadiliko yaliyoasisiwa na ujio wa wageni nchini!

Nia ya post hii ni kuwajulisha wana-JF wa Arusha na maeneo ya jirani kwamba kuelekea mwisho wa mwaka 2010 tuna Mpango Kabambe wa kuasisi mijumuiko ya kijamii, ambapo kwa kufanya hivyo tutakuwa tunatekeleza kwa vitendo upiganiaji haki wetu, ambao kwa bahati mbaya umekuwa kimabandiko-zaidi kuliko uhalisia..Charity begins home...na tuanze sisi wenyewe kuonyesha kwamba mambo haya yanaweza kubadilishwa na kutendewa kazi ya kuonekana kwa macho...lets go substantial!

Jana (9/12/2010-Uhuru wa Tanganyika) wana-JF kama 5 wa hapa Arusha, tukiwa na m-JF mgeni toka Dar tulikutana mahali kwaajili ya kufahamiana na kubadilishana mawazo, tukagundua kwamba ni jambo jema sana kukaa pamoja na kuongea, na hatimaye tukaona umuhimu wa kufanya kitu cha kirafiki.

Tuliazimia kuwa tu'organize safari ya kutembelea mbuga yoyote ya wanyama iliyoko pande za huku kama ambavyo tutakubaliana, kabla ya Krismas, yaani kati ya tarehe 15-23/12/2010...

Tumegundua kuwa Arusha kuna members wengi sana(huenda kuliko Dar:grouphug:)...!
Kwa members wote mtakaokuwa interested, tafadhali aidha onyesheni kwenye bandiko hili, au nitumieni PM, ili pamoja na mengine tufanye kikao cha awali cha logistics.
NB:
Members wa nchi nzima mtakaokuwa Arusha/Moshi kwaajili ya X-MAS au LIKIZO au vyovyote mnakaribishwa sana ili tuungane pamoja!
Ngongo.. Rutashubanyuma, na wengineo, tunahitaji sana inputs zenu!
UPDATE 1:
Mkuu Maxence Melo atahudhuria kwenye hii safari, na ameomba kuwa na maongezi na members wa Arusha, na hata kujibu maswali mbalimbali kuhusu Jf na mengineyo.
Tarehe imebadilishwa(kwa convinience ya Melo na wanaJF wengine toka Dar, imekuwa 27/12/2010, badala ya 23/12.
Nitakuwepo, lakini tarehe zinanibana. Nadhani nitakuwa nimerejea nchini by 23rd, tutawasiliana na mkuu PJ, I wish ingekuwa 26th December au 27th hapo ingekuwa rahisi sana kwangu. Nitajitahidi nijiunge nanyi -MAXENCE MELO
[/quote]
UPDATE 2:
Kutakuwa na kikao cha Maandalizi Siku ya Jumanne, tarehe 14/12/2010, saa 11.00 kamili jioni...tumeweka muda huo kuwawezesha wanaotoka makazini waweze kuhudhuria.
Venue itatolewa kwa wale waliowasilisha namba zao kwa pioneers wa mpango huu, hivyo jitahidi kutuma namba yako kwenye namba iliyokuPM kwaajili ya suala hili.
UPDATE 3
Jana (14/12/2010)tulifanikiwa kuanzisha kikao(pilot-meeting), ambacho kilifanikiwa sana..Kwa ujumla ni kwamba tulitengeneza skeleton yote ya safari nzima, na matukio ya baada ya safari.
Tume'schedule kikao kingine kufanyika IJUMAA,17/12/2010, SAME VENUE, SAME TIME(0500PM)....
WITO WANGU KWA WALE AMBAO WAMEKOSA KIKAO CHA MWANZO, NAWAOMBA MSIKOSE KIKAO KIJACHO, ni muhimu sana, na ni burudani!
Baada ya kikao hicho cha Ijumaa tutatoa taarifa rasmi na FINAL kwa Umma wa JF juu ya taratibu za ushiriki(Mkono mtupu haurambwi).
Aksanteni tena.

UPDATE 4:
Maamuzi ya kikao cha jana ni kama ifuatavyo:

1.Safari itakuwa na awamu 2 ndani ya siku 1,ambapo ni(a)Kwenda Mbugani(b)Kikao na Mkuu Maxence..kwa maana hiyo kuwasili(wa mbali)ni 26/12, na safari 27/12.
2. Bajeti iliyoandaliwa inainclude Usafiri, Chakula, Vinywaji,(cold-drinks) na Viingilio getini.
Lakini pia baada ya kurudi Arusha, kuna gharama za Ukumbi-wa kukutania kwa Maongezi na Mkuu, Barbeque ya uhakika na Vinywaji, na zawadi ya Sungura kwa Mkuu, (tumesikia anapenda sana kufuga)!
3.Kwa bajeti hiyo, kila atayeungana nasi atachangia ths 50,000/=tu kama gharama ya kucover vitu hivyo vyote.
4.Kuna members ambao wako pamoja na sisi, tarehe hizo watakuwa na majukumu, lakini watachangia ili kuonyesha mshikamano.
5.Michango yote itumwe kwa M-PESA kwa namba 0762-320630.
6.Deadline ya michango hii ni tarehe 24/12/2010
7.Mliopo nje ya Arusha, tafadhali wahisheni contributions ili tuweke mambo sawa.
8.Eneo la kikao cha Maongezi baada ya Safari linahifadhiwa kwa sababu za Usalama.
5.Hali ya uthibitisho wa members mpaka leo iko hivi:

UPDATE 5:
Kikao cha mwisho ni kesho 23/12/2010, venue palepale. Muda saa 11 kamili.

Waliothibitisha kusafiri na kuchanga.
1.Preta
2.Mzee wa Rula
3.SaharaVoice.
4.Crashwise
5.FreeTown
6.EekaMangi
7.Derimto
8.Wiselady
9.PakaJimmy
10.Hmethod
11.Lilyflower
12.Chipukizi.
13.Ncha
14.MrMiela
15.Loner


Ambao wameonyesha mwitikio chanya lakini hawajachanga!
15.Bucho
16.Baba Ubaya
17.Kings01
18.Msindima
19.Margwe
20.Mzee wa Serengeti
21.Ndallo
22.Ntavyo
23.Samora
24.Vince
25.Ngongo.
26.Konakali(18/12)
27.Dar,Moshi, Moro, Dom and other destinations comrades.
 
Wana-JF wa Arusha,

Wababa :Enda-Subhai!
Wamama :Endakwenya!
Wote :Subhati Ngerai, habari-ya-Ngaji?..Engai Engoitoi!...poleni sana!

Wapendwa,

Nia yangu si ubaguzi wa Makabila au maeneo, lakini kama mjuavyo, Maasai ndio mila/kabila PEKEE linalojaribu kushindana na kasi ya mabadiliko yaliyoasisiwa na ujio wa wageni nchini!

Nia ya post hii ni kuwajulisha wana-JF wa Arusha na maeneo ya jirani kwamba kuelekea mwisho wa mwaka 2010 tuna Mpango Kabambe wa kuasisi mijumuiko ya kijamii, ambapo kwa kufanya hivyo tutakuwa tunatekeleza kwa vitendo upiganiaji haki wetu, ambao kwa bahati mbaya umekuwa kimabandiko-zaidi kuliko uhalisia..Charity begins home...na tuanze sisi wenyewe kuonyesha kwamba mambo haya yanaweza kubadilishwa na kutendewa kazi ya kuonekana kwa macho...lets go substantial!

Jana (9/12/2010-Uhuru wa Tanganyika) wana-JF kama 5 wa hapa Arusha, tukiwa na m-JF mgeni toka Dar tulikutana mahali kwaajili ya kufahamiana na kubadilishana mawazo, tukagundua kwamba ni jambo jema sana kukaa pamoja na kuongea, na hatimaye tukaona umuhimu wa kufanya kitu cha kirafiki.

Tuliazimia kuwa tu'organize safari ya kutembelea mbuga yoyote ya wanyama iliyoko pande za huku kama ambavyo tutakubaliana, kabla ya Krismas, yaani kati ya tarehe 15-23/12/2010...

Tumegundua kuwa Arusha kuna members wengi sana(huenda kuliko Dar:grouphug:)...!
Kwa members wote mtakaokuwa interested, tafadhali aidha onyesheni kwenye bandiko hili, au nitumieni PM, ili pamoja na mengine tufanye kikao cha awali cha logistics.

NB:
Members wa nchi nzima mtakaokuwa Arusha/Moshi kwaajili ya X-MAS au LIKIZO au vyovyote mnakaribishwa sana ili tuungane pamoja!
Ngongo.. Rutashubanyuma, na wengineo, tunahitaji sana inputs zenu!
hahahah PJ hope kwenye hiyo tano na mimi nipo!!
 
Nafikiri hata tulioko dar, Mwanza, Mbeya. n.k kama tupo interested basi tujumuike pia siyo wa Arusha peke yake
Asante mkuu:A S-alert1:
 
hahahah PJ hope kwenye hiyo tano na mimi nipo!!


Mkuu Kimey we wa usalule bana sema jengine!

Big up sana PJ Kwa wazo hili, thats what I have been telling people all this time nadhani mnakumbuka ziara yetu ya mikumi mwanzoni mwa mwaka jana!
 
hahahah PJ hope kwenye hiyo tano na mimi nipo!!
Teh..te..heee...
Mkuu, uliwakilishwa 100% na WL!:mod:
Hoja zote ulizomtumia kwenye meseji alizionyesha hadharani!..

Mkuu, karibu sana!
 
Nikienda Moshi 'kula krismasi' desemba ntapitia hapo asee.... mwambie Preta aniandalie mshkaki pale kwa Mromboo na Wiselady aniwekee oda ya trupa pale Mrina bar...... PJ utalipia bili ya bia hapo Picnic. Ahsante kwa mwaliko wenu...I WILL BE THERE.:whoo::whoo:

Salamu kwa Liliy Flower na Msindima tafadhali.
 
Mkuu Kimey we wa usalule bana sema jengine!

Big up sana PJ Kwa wazo hili, thats what I have been telling people all this time nadhani mnakumbuka ziara yetu ya mikumi mwanzoni mwa mwaka jana!
hahahaha Pope I was there but not physically PJ analijua hili!! BTW lini mndenyi? twende tukarie kidogo! nimemiss ile kitu kwenye avatar ya Teamo acha!
 
PJ ashenale,,,
Naamini itakuwa nafasi nzuri ya kufahamiana na ndugu zetu wengi zaidi ambao tunafahamiana kwa keyboard.
 
Nafikiri hata tulioko dar, Mwanza, Mbeya. n.k kama tupo interested basi tujumuike pia siyo wa Arusha peke yake
Asante mkuu:A S-alert1:
Kimsingi nimeiweka hiyo point yako pale mwisho wa thread yangu..ni jambo la wazi,na ni huru kwa m-JF yeyote, naomba nieleweke hivyo!
Mkuu, kama utakuwepo usisite, tuwasiliane-karibu sana!
 
Add me to the list. Niko Almatejo bana .Huku kumekucha hasa Krismas inavyokaribia wenzetu nao hawalali kujichukulia visivyo vyao. Be carefull bro hata Mmasai hujeuka kipindi hiki .
 
Nikienda Moshi 'kula krismasi' desemba ntapitia hapo asee.... mwambie Preta aniandalie mshkaki pale kwa Mromboo na Wiselady aniwekee oda ya trupa pale Mrina bar...... PJ utalipia bili ya bia hapo Picnic. Ahsante kwa mwaliko wenu...I WILL BE THERE.:whoo::whoo:

Salamu kwa Liliy Flower na Msindima tafadhali.
Mkuu, hao wote uliowataja walikuwemo kwenye hii 'pilot committee!
Wana uchungu sana, na hawataki kushindwa na lolote!
Mavituvitu yote uliyoyataja ni ya kumwaga huku mkuu!
We andaa parabola tu!:party:

Thanx for confirming your presence!
 
Teh..te..heee...
Mkuu, uliwakilishwa 100% na WL!:mod:
Hoja zote ulizomtumia kwenye meseji alizionyesha hadharani!..

Mkuu, karibu sana!

hahaha huyo si hakuwepo tu jamani asiyekuwepo, yaani kama mimi tu
 
hahahaha Pope I was there but not physically PJ analijua hili!! BTW lini mndenyi? twende tukarie kidogo! nimemiss ile kitu kwenye avatar ya Teamo acha!

hommie muhimu sana iyo naangali logistic

hivi utabiri wa hali ya hewa unasemaje izi mvua zitakuwepo bado?:bump::bump:
 
Mkuu Kimey we wa usalule bana sema jengine!

Big up sana PJ Kwa wazo hili, thats what I have been telling people all this time nadhani mnakumbuka ziara yetu ya mikumi mwanzoni mwa mwaka jana!
Mkuu,
Tumeshagundua kuwa kununa na keyboard 24hrs is of less profit!...impact haionekani sana kama tunavyotarajia!
Hii ni JF ya miaka ya 2010, and it should behave likewise!

Aksante kwa courage Mkuu!
 
Wana waArusha wanatenda, wengine je?
Mfano mzuri, hongerezi sana na mtafanikiwa 100%, kwani palipo na jema Mungu huweka mkono wake wa baraka.
Big up PJ na wana Arusha wote
 
Nikienda Moshi 'kula krismasi' desemba ntapitia hapo asee.... mwambie Preta aniandalie mshkaki pale kwa Mromboo na Wiselady aniwekee oda ya trupa pale Mrina bar...... PJ utalipia bili ya bia hapo Picnic. Ahsante kwa mwaliko wenu...I WILL BE THERE.:whoo::whoo:

Salamu kwa Liliy Flower na Msindima tafadhali.

Unakaribishwa sana trupa utashindwa mwenyewe,ila tu naamini ukaguzi wa.... utakuwa umekomea kwa Xi kindulele.
 
Add me to the list. Niko Almatejo bana .Huku kumekucha hasa Krismas inavyokaribia wenzetu nao hawalali kujichukulia visivyo vyao. Be carefull bro hata Mmasai hujeuka kipindi hiki .

Your Wish granted Sir!

OlMatejoo mkuu wangu hapo ni mshikemshike, i dont know how you manage!...lakini home is best!

Mfamaji nafurahi kuwa tuko pamoja kama samaki na maji!...be connected, and iam sure we gonna make this thing a success and memorable!
 
JF to the next level, big up sana....tunapata stress kwenye maisha ya kawaida tunakuja kurelax JF, sio tunapata furaha kwenye maisha ya kawaida halafu tuje kuwa stressed JF

Hunijui sikujuj......???????
 
Wana waArusha wanatenda, wengine je?
Mfano mzuri, hongerezi sana na mtafanikiwa 100%, kwani palipo na jema Mungu huweka mkono wake wa baraka.
Big up PJ na wana Arusha wote
Thnx for ze support Mkuu!...Nia yetu ni pure, hatuna hila, hivyo Mungu yu nasi!
Hatuna sababu ya kujieleza endapo tutashindwa...!
 
Back
Top Bottom