Jezi za Taifa Stars zimeangalia maslahi ya Yanga

makonda ana ndevu na kitambi kumbe?? sasa mbona amekunja uso kama ana susu gogo gumu?? sijamuona huyu jamaa zaidi ya siku tatu sasa ila nadhani ni vile magu alikuwa na wafanyabiashara....
 
Sijawahi kupenda rangi ya blue katika jezi zetu za taifa. Kwanza mimi ni mnazi ya Simba (Mimi ni Kilomoni Jr.) ila ahuweni tutumie rangi hizi mbili (kijani na njano) au kama tunatumia blue basi iwe kwenye soksi ama bukta na iwe blue ya kukoza kama ile ya Brazil.

Fulana zikiwa kijani zitaleta muonekano mzuri sana na iwe kijani ya kukoza sana na bukta ndizo ziwe za blue.

Mwisho: kwa aina ya wachezaji wetu hata ukiwapa jezi za dhahabu ni sawa na kipini cha dhahabu juu ya pua ya nguruwe.

Wapeni tu hayo hayo majezi mabaya yanayoendana na uchezaji wao wa hovyo...


Wangefanya kama za Argentina away jersey ni nzuri sana. Jezi za njano haziwapendezi kabisa.

images.jpeg
 
"Hata hapa Dar es salaam, ukimatwa ukapelekwa kituo cha Polisi kwa uzururaji au makosa fulani, nitawauliza polisi mtuhumiwa amevaa nguo gani, kama amevaa jezi mpya ya Taifa Stars, ataachiwa" - Paul Makonda.

Toa maoni yako
 
Mimi nasema hivi kama hawa wapumbavu wa TFF hawataondoa hizo rangi za Yanga kutoka jezi ya timu ya Taifa, basi hiyo timu yao wawapelekee Yanga wakaishangilie badala ya kutulazimisha kuishangilia Yanga kiujanja!!!!
 
Mimi nasema hivi kama hawa wapumbavu wa TFF hawataondoa hizo rangi za Yanga kutoka jezi ya timu ya Taifa, basi hiyo timu yao wawapelekee Yanga wakaishangilie badala ya kutulazimisha kuishangilia Yanga kiujanja!!!!
Hizi ni bangi sasa,hizo si rangi za Yanga niza bendera ya taifa
 
Back
Top Bottom