khamis kilo
JF-Expert Member
- May 23, 2016
- 1,048
- 1,189
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angalau naweza kununua jezi ya man u sasa 😀😀😀Possible Man Utd new home kit
View attachment 2223211
View attachment 2223212
View attachment 2223213
Kwann hujaikubali Arsenal?Hyo jez ya aseno hapana mwaka huu
Itabid ninunue ya bayan sasa
Angalau naweza kununua jezi ya man u sasa 😀😀😀
Hujaona wewe ndo Kali kuliko zote ntakupa third kit tu achana na zilizotumwaHyo jez ya aseno hapana mwaka huu
Itabid ninunue ya bayan sasa
Chagua hapo ila first naona ni utopoloHyo jez ya aseno hapana mwaka huu
Itabid ninunue ya bayan sasa
classic as always
Adidas baada ya kufanya vizuri na rangi ya pink kwa Man Utd na Real Madrid misimu kadhaa nyuma sasa wameamua kuileta Arsenal...uzi mkali🔥🔥🔥Hujaona wewe ndo Kali kuliko zote ntakupa third kit tu achana na zilizotumwa
First nyekundu na second ni black wacha
Hii ni third kit itaanzq kuvaliwa rasmi kweny mechi ya kujiandaa na ligi👇👇👇
View attachment 2223995
Mdude mkali ila uwanjani sasaPossible Man Utd new home kit
View attachment 2223211
View attachment 2223212
View attachment 2223213
Pink ya Mau U ndiyo Jezi kali ya away kwa United muda wote ilikuwa tamu vibaya .Adidas baada ya kufanya vizuri na rangi ya pink kwa Man Utd na Real Madrid misimu kadhaa nyuma sasa wameamua kuileta Arsenal...uzi mkali🔥🔥🔥
Kitu cheupe kikiwa kizuri kinavutia haswa kuliko rangi nyingine yeyote ndio maana mabaharia tunasemaga mtoto mkali mweupeeee!!
NakaziaaaPink ya Mau U ndiyo Jezi kali ya away kwa United muda wote ilikuwa tamu vibaya .
Hawajawi kosea Kali vibaya mno