Babumawe
JF-Expert Member
- Sep 12, 2014
- 2,556
- 2,559
Takribani jezi elfu arobaini na mbili za mabingwa wa Tanzania Simba sports club zimepigwa bei kwa siku moja.
Hii ina maana kwamba ikiwa kila jezi imeuzwa kwa 30,000 basi almost 1.26Billions zimeingia kutokana na jezi.
Naona kabisa vunjabei amepiga mshindo mkubwa kwenye hili dili na anatamani angesaini kwa miaka kumi.
Hii ina maana kwamba ikiwa kila jezi imeuzwa kwa 30,000 basi almost 1.26Billions zimeingia kutokana na jezi.
Naona kabisa vunjabei amepiga mshindo mkubwa kwenye hili dili na anatamani angesaini kwa miaka kumi.