ThinkPad
JF-Expert Member
- Apr 11, 2008
- 1,844
- 232
Uliangalia Operation Entebe jamaa wako juu, maana ni miaka mingi sana lakini walifanya kweli kiutu uzima kwanza kabisa nilikubaliana na mapailot wao they was trained coz the land blindly on land of Entebe pia kwenye red sea walipita mita chache sana kutoka kwenye maji ili Rada za maadui zisiwaone na ndivyo ilivyokuwa maana nchi yao imezungukwa na maadaui.
Wanakitu cha ziada hawa jamaa.
Wanakitu cha ziada hawa jamaa.