TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 23,914
- 23,077
Kweli unaweza kuwepo mgogoro wa CIA+FIB dhidi ya Mossad? Kutangaza kumuua Rais wa marekani ni kutangaza mgogoro na vyombo hivyo nilivyovitaja vya marekani.
Au ndiyo kusema kanuni hii hapa chini ni sahihi?
Mossad=CIA+FIB+......+.....+.....
Au ndiyo kusema kanuni hii hapa chini ni sahihi?
Mossad=CIA+FIB+......+.....+.....