Memento
JF-Expert Member
- Jun 13, 2021
- 4,423
- 9,962
ID za kimkakati hizi, hivi mpo wangapi?Watu huko mitandaoni wanatamani kuskia kitu kitakacho wafurahisha mioyo yao juu ya chuki walizonazo dhidi ya serikali na Mama kwa ujumla..
Naomba niwathibitishie tu kuwa huo upumbavu wanaofikiria kuhusu Tamko hili LA jeshi letu Imara kamwe hautokaa utokee ktk serikali hii Sikivu na yenye hofu ya Mungu.
Mama ni Mpango na Chaguo LA Mungu bado yupoyupo sanaaa..