Brigedia Chan-ocha
JF-Expert Member
- Mar 7, 2014
- 1,353
- 2,842
Nashangaa huo ujasusi na upelelezi huko Pwani maeneo ya KIBITI, MKURANGA na RUFIJI kuchukua muda mrefu hivyo, sijui walisomea wapi huo upelelezi au ujasusi?
Katika hali kama hiyo, na mkishawasoma wauaji mbinu wanayotumia na hasa huko PWANI basi ni rahisi kubadili mbinu zenu!!
Kwa kuwa wauaji wanavamia Polisi na viongozi wa serikali za vijiji, basi, Kila nyumba ya kiongozi wa serikali ya kijiji usiku makomandoo wawili au watatu aidha wajifiche ndani ya nyumba hizo ndani ya miezi 2-3 au wakae nje ile wawe wamejificha, zoezi hili lifanyike usiku tu na alfajiri sana makomandoo hao waondoke kurudi kambini, Vile vile, Askari wa Usalama barabarani waendelee na shughuli zao kama kawaida lakini kama mita 50 au 60 yachimbwe maandaki tena yachimbwe USIKU kabisa na udongo uondolewe na hayo maandaki kwa juu waweke kama nyasi hivi ili mtu yeyote asigundue kuwa pale kuna maandaki, humo ndani ya maandiki watakuwa wanakaa makomandoo wa JESHI wenye silaha nzito maandaki yote ni lazima yatazamane na eneo walilopo Askari polisi wa Usalama barabarani au wa vizuizi, makomandoo wote watoke mikoani wasitoke hapo PWANI, msifanye kosa mkawaua wauaji ikiwa mtafanikiwa, wapigeni miguu yao yote halafu muwakamate na kuwahoji haraka haraka baada ya kutoa taarifa zote muhimu basi muwaue kimya kimya.
Mbinu nyingine, hii inabidi ifanywe na mkuu wa mkoa au wilaya kwenye eneo lake, itisha mkutano wa wananchi wote, gaweni karatasi na kalamu na kila mtu aandike jina la mtu anayedhani ni muhusika, yule atakayetajwa mara nyingi basi ni halali yenu, mbinu hii huondoa visasi na uhasama maana watu wanakuwa wengi kwenye aneo moja, hivyo ni ngumu kubaini aliyetaja.
Katika hali kama hiyo, na mkishawasoma wauaji mbinu wanayotumia na hasa huko PWANI basi ni rahisi kubadili mbinu zenu!!
Kwa kuwa wauaji wanavamia Polisi na viongozi wa serikali za vijiji, basi, Kila nyumba ya kiongozi wa serikali ya kijiji usiku makomandoo wawili au watatu aidha wajifiche ndani ya nyumba hizo ndani ya miezi 2-3 au wakae nje ile wawe wamejificha, zoezi hili lifanyike usiku tu na alfajiri sana makomandoo hao waondoke kurudi kambini, Vile vile, Askari wa Usalama barabarani waendelee na shughuli zao kama kawaida lakini kama mita 50 au 60 yachimbwe maandaki tena yachimbwe USIKU kabisa na udongo uondolewe na hayo maandaki kwa juu waweke kama nyasi hivi ili mtu yeyote asigundue kuwa pale kuna maandaki, humo ndani ya maandiki watakuwa wanakaa makomandoo wa JESHI wenye silaha nzito maandaki yote ni lazima yatazamane na eneo walilopo Askari polisi wa Usalama barabarani au wa vizuizi, makomandoo wote watoke mikoani wasitoke hapo PWANI, msifanye kosa mkawaua wauaji ikiwa mtafanikiwa, wapigeni miguu yao yote halafu muwakamate na kuwahoji haraka haraka baada ya kutoa taarifa zote muhimu basi muwaue kimya kimya.
Mbinu nyingine, hii inabidi ifanywe na mkuu wa mkoa au wilaya kwenye eneo lake, itisha mkutano wa wananchi wote, gaweni karatasi na kalamu na kila mtu aandike jina la mtu anayedhani ni muhusika, yule atakayetajwa mara nyingi basi ni halali yenu, mbinu hii huondoa visasi na uhasama maana watu wanakuwa wengi kwenye aneo moja, hivyo ni ngumu kubaini aliyetaja.