Jeshi letu linaonyesha umahiri wa kupigwa na tofali zama hizi!? Hawaoni wenzao huko duniani?

Pole lakini kumbuka wanachokuonesha ni self defence ambayo application yake inaweza kuwa popote.ukitaka show za mizinga,vifaru na ndege sio sehemu yake.mtoa maada ni mtu mwenye hali ngumu sana kimaisha inaonesha una msongo wa mawazo.combination,carter na vyote ingia you tube angalia korea commandos tofauti haipo.umekopa kabando mbuzi unaanza kubeza watu.hao commando rank yao ni kubwa na wameperform mission tofauti nje ya nchi.kama hujui commando hao wana exposure balaa.canada,ufaransa,usa,china,urusi ni sawa sawa na kwenda tandika jinsi wanavyobadilishana ndege.na wanajifunza na special force mbalimbali.acha dharau subiri umalize mkopo wa vikoba
....Eti mtoa mada ni mtu mwenye hali ngumu kimaisha,sijui bando amekopa bla bla blaa...kwa Nini unajidhalilisha hasa jukwaani wakati hata mtoa mada humjui? Why kugombana na Avator badala ya kujadili content ya Hilo Avator?
 
Raia wanataka mambo kama haya..
130518052242-north-korea-missiles-super-169.jpg
 
Unataka mambo kama ya korea kusini?, we uko serious? Bajeti yako kwa jeshi ni kiasi gani?umewaza hilo?.Taifa kwa ujumla ni kiasi gani?

Kwa hiyo bajeti yetu inaendana na tofali?! Unaweza kutuambia bajeti ya jeshi ni kiasi gani? Jibu ni huwezi! Kaa kimya kuhusu bajeti, tunatoa changamoto kwa jeshi letu kuhusu tekinolojia kwa sababu tunalipenda na sisi ni sehemu yake!!
 
kwani kule jeshini nako tumepata watumishi hewa, standard seven kule wapo wengi sana na hawawezi gundua kitu. subirini wastaafu ndo tupate jeshi la wasomi maana tunavosikia wenzetu wanawekeza jeshini sisi tunawekeza kuwahonga walinde uchaguzi na usafi mtaani badala ya kuwapa uwezo wa kusaidiwa kupata mafunzo ya kuinua technology katika suala la ulinzi na usalama.
 
Hilo ni kosa la nchi nzima na wananchi wote ukiwemo wewe na mimi,,,,,, ndugu nchi haina technology yeyote wala hakuna jitihada za kuwezesha uvumbuzi kufanyika ndani ya nchi,,,,,, huko jeshini unadhani kuna viwanda vya kisasa? Kwanza jeshi linalalamikiwa et lina bajeti kubwa mno,,,, sasa hiyo bajeti si kitu kununua vifaa vya technology ya kisasa,,,,, Korea yale mavifaa vingi wanatengeneza wao,,,,,,, umaskini wa wananchi mtaani ndio hivyo hivyo na taasisi nyingi za serikali zilivyo,,,,,,,, wanaonesha kadri ya uwezo wa nchi..... Waoneni huruma hata wao wanachoka kuonyesha mambo yale yale kila wakati.
Mashaka yangu ni kwamba wakiendelea hivi wataharibu hata huo uwezo mdogo wa kufikiri wa wanajeshi Wetu. Maana badala ya kutumia vichwa kufikiri wanavitumia kukunjia nondo na kuvunjia matofali. Kwahiyo hata ubunifu mdogo tu wa kutumia manati badala ya tofali utashindikana.
 
Mashaka yangu ni kwamba wakiendelea hivi wataharibu hata huo uwezo mdogo wa kufikiri wa wanajeshi Wetu. Maana badala ya kutumia vichwa kufikiri wanavitumia kukunjia nondo na kuvunjia matofali. Kwahiyo hata ubunifu mdogo tu wa kutumia manati badala ya tofali utashindikana.
 
Tanzania tuna safari ndefu sana ya kwenda.

Wale walikuwa wanaonyesha onyesho la kufurahisha waliokwenda uwanjani na ukakamavu wao, ile ni sanaa kama sanaa zingine. Hawakuwa pale wakionesha mbinu za kupigana na adui.

Hivi majeshi yetu yanapofanya gwaride ina maana wanatuonesha mbinu yao ya kupigana na adui?

Wacheni kuwa mapunguani.
Kwahiyo huwa tunaletewa wasanii wa kijeshi kutuburudisha na sio makomando kama tunavyotangaziwa mubashara pale uwanjani?
 
Askari wetu wakiingia kampala na kumuondoa nduli iddi amini,naona watu wameshasahau hii,tunakomaa na waasi wa 23 na kanali bakari.
pp006px.gif
 
Kuvunja tofali kwa kichwa ni mojawapo ya mbinu za medani.

Fikiria mtu ametekwa, akaweza kujinasua.. Yuko ndani hana silaha yoyote atatoroka vipi? Ndio kucheza na tofali za ukuta sasa.. Ngumi, mateke, vichwa.. Hadi utoke
 
Hakuna m babe mbele ya risasi ruka kichura n'gata chuma ila ikikupata .....
Wangenconvince kama wwngeonyesha jinsi ya kuchezea silaha
 
Back
Top Bottom