Sumbalawinyo
JF-Expert Member
- Sep 22, 2009
- 1,282
- 247
Jerry Muro ameweza kuthibitisha kuwa bunduki na pingu alikuwa akizimiliki kihalali.
Kauli alizokuwa akizitoa Kova kwa vyombo vya habari zilikuwa ni za ukandamizaji na zilikuwa zinaonyesha bayana kuwa kuna visasi dhidi ya bwana Muro.
Je kwa namna hiyo ya utendaji, jeshi letu ni chombo salama cha ulinzi wa jamii?
Kama sio, kwanini lisivunjwe kwa kukiuka miiko na maadili ya UPOLISI?
Kauli alizokuwa akizitoa Kova kwa vyombo vya habari zilikuwa ni za ukandamizaji na zilikuwa zinaonyesha bayana kuwa kuna visasi dhidi ya bwana Muro.
Je kwa namna hiyo ya utendaji, jeshi letu ni chombo salama cha ulinzi wa jamii?
Kama sio, kwanini lisivunjwe kwa kukiuka miiko na maadili ya UPOLISI?