Bila shaka!Hii sio kawaida, Kuna kitu hakiko sawa.
Bila shaka!Hii sio kawaida, Kuna kitu hakiko sawa.
Propaganda za kizamani hizi.Hapo hakuna anayejua ila ukweli Hangaya leo usiku utakuwa ni mrefu sana
Ungejua maana ya propaganda usinge andika huu usanii wakoPropaganda za kizamani hizi.
Hakuna mtu wa kushindana na jeshi kama limeamuasio simple kiasi hicho...
Ukisha onja asali hata kwa bshati mbaya tu basi wewe utakuwa muonjaji mkubwa tuWalishanogewa
Vijana wajiunge kwenye vikundi vya uzalishaji mali.tamko la ajira kwa vijana wanaopenda kujiunga na jwtz
Hapo itoshe tu kusema KIMEUMANA.Itakuwa issue ya makomandoo wao kuteswa na vijana wa Siro
Fanya uende ukawachukuenahisi ni wale mbuzi walio okotwa lugalo wana randaranda, pengine mwnyewe mwenye mbuzi hajajitokeza bado na xmass ndio hioo..
Kesho ndiyo mwisho wa ccm hapa dunianimmeambiwa kesho ndio tamko litatoka....tulieni msubiri kesho tamko litolewe, kama wewe ni mwandishi wa habari jongea eneo la tukio...
Hao ndiyo wanajikabidhi madaraka sasa sijui utachagua lipi hapoWakae tuu kambini,kazi yao ni moja tuu kulinda mipaka ya nchi, tangu wanirushe kichurachura na kunivua shati bila sababu siamini wajinga hao bora tupambane na wezi wa kura CCM kuliko hayo yenye SMG na vifaru
Swali gumu sana kwa hao watuYuko wapi Moses Lijenje?
Unaogopa nini sasa?Endelea kuota. Hakuna mapinduzi hutokea kwenye tamko tena lililoandaliwa ukumbini na waandishi wakiwepo. Mapinduzi yatokee kwa kutanguliwa na taarifa ya kujiandaa?
Afadhali umemuelewesha vya kutosha huyo chawaHujui nafasi ya CDF wewe. Kingai ndio kenge gani kwenye vyombo vya ulinzi na usalama? Kutajwatajwa pale mahakamani si hata mgambo anaweza. Uliwahi ona wapi CDF anaitwa mahakamani
Sasa hivi Kuna tatizo la malisho,ukame. Jeshi lingewaacha tu hao mbuzi wachunge mpaka masika yachanganye!Jeshi limechoka kukamata mbuzi wanaokula nyasi za kwenye kambi.
Wenye mbuzi tunawaombeni mkazichukue.
Ntombanewe.Ungejua maana ya propaganda usinge andika huu usanii wako
Kama jeshi la polisi liliiandikia Chadema kuwa kuna ugaidi na jeshi la wananchi linakuja na tamko maalum ni lazima watu watakuwa na wasiwasi kuwa huenda kuna uhusiano.View attachment 2027376Ni mara chache Jeshi letu la Wananchi kuja na tamko zito kama hili kunani? Je ni kuhusu ugaidi unawosemwa katika mitandao ya kijamii? ama tuvute subira hadi hiyo kesho saa nne (4) asubuhi kujua ni habari hiyo ya kustua.
Unataka kuvuliwa chupi na vikosi vua(sitaki kuvitaja),Wakae tuu kambini,kazi yao ni moja tuu kulinda mipaka ya nchi, tangu wanirushe kichurachura na kunivua shati bila sababu siamini wajinga hao bora tupambane na wezi wa kura CCM kuliko hayo yenye SMG na vifaru
Watu huko mitandaoni wanatamani kuskia kitu kitakacho wafurahisha mioyo yao juu ya chuki walizonazo dhidi ya serikali na Mama kwa ujumla..
Naomba niwathibitishie tu kuwa huo upumbavu wanaofikiria kuhusu Tamko hili LA jeshi letu Imara kamwe hautokaa utokee ktk serikali hii Sikivu na yenye hofu ya Mungu.
Mama ni Mpango na Chaguo LA Mungu bado yupoyupo sanaaa..