nyboma
JF-Expert Member
- Aug 29, 2021
- 2,200
- 6,890
Pia soma: News Alert: - Upanga, Dar: Yaliyojiri kutoka Ukumbi wa JWTZ, Mkutano na Waandishi wa Habari
Imekushtua nn wewe raia ? Acha kukurupuka sio mara ya kwanza jeshi kuita vyombo vya habari na kutoa tamko au maelekezoView attachment 2027376Ni mara chache Jeshi letu la Wananchi kuja na tamko zito kama hili kunani? Je ni kuhusu ugaidi unawosemwa katika mitandao ya kijamii? ama tuvute subira hadi hiyo kesho saa nne (4) asubuhi kujua ni habari hiyo ya kustua.
Imekushtua nn wewe raia ? Acha kukurupuka sio mara ya kwanza jeshi kuita vyombo vya habari na kutoa tamko au maelekezo
USSR
Hilo lijamaa temana nalo linajikuta lijuaji kumbe hamna lolote ..Wewe sio Raia??
He!!! Mhemko wa nn?? Hata bwana yule mlisema ni chagua LA mungu kisha mkamuita mungu!!!wanafiki wakubwa nyieWatu huko mitandaoni wanatamani kuskia kitu kitakacho wafurahisha mioyo yao juu ya chuki walizonazo dhidi ya serikali na Mama kwa ujumla..
Naomba niwathibitishie tu kuwa huo upumbavu wanaofikiria kuhusu Tamko hili LA jeshi letu Imara kamwe hautokaa utokee ktk serikali hii Sikivu na yenye hofu ya Mungu.
Mama ni Mpango na Chaguo LA Mungu bado yupoyupo sanaaa..
na ndo amiri jeshi mkuu wa majeshi yote ya TZ, anapigiwa salute na wakuu wote wa majeshi TZ na ndo mkuu wao, hata hilo tamko hawawezi toa bila ruhusa ya mama.Watu huko mitandaoni wanatamani kuskia kitu kitakacho wafurahisha mioyo yao juu ya chuki walizonazo dhidi ya serikali na Mama kwa ujumla..
Naomba niwathibitishie tu kuwa huo upumbavu wanaofikiria kuhusu Tamko hili LA jeshi letu Imara kamwe hautokaa utokee ktk serikali hii Sikivu na yenye hofu ya Mungu.
Mama ni Mpango na Chaguo LA Mungu bado yupoyupo sanaaa..
Makamanda bwana eti unamwita mwenzio raia kwa hiyo we mkimbiziImekushtua nn wewe raia ? Acha kukurupuka sio mara ya kwanza jeshi kuita vyombo vya habari na kutoa tamko au maelekezo
USSR
Usitusemee semea moyo wako na njaa zakoWatu huko mitandaoni wanatamani kuskia kitu kitakacho wafurahisha mioyo yao juu ya chuki walizonazo dhidi ya serikali na Mama kwa ujumla..
Naomba niwathibitishie tu kuwa huo upumbavu wanaofikiria kuhusu Tamko hili LA jeshi letu Imara kamwe hautokaa utokee ktk serikali hii Sikivu na yenye hofu ya Mungu.
Mama ni Mpango na Chaguo LA Mungu bado yupoyupo sanaaa..