Jeshi la Urusi wajiandaa kuachilia 'kiwanda cha nyuklia'

Mrengwa wa kulia

JF-Expert Member
Mar 21, 2022
990
3,488
Samaki katema ndoano.

Twende kazi

Mkuu wa shirika la nyuklia nchini Ukraine, Petro Kotin amesema kwamba kuna ishara kwamba wanajeshi wa Russia wanajitayarisha kuondoka kutoka kiwanda cha nyuklia cha Zaporizhzhia ambacho wamekuwa wakishikilia tangu mwezi March baada ya kuvamia nchini hiyo.

Endapo hilo litatokea, itakuwa mabadiliko makubwa katika vita vya Ukraine katika sehemu za kusini mashariki mwa eneo la Zaporizhzhia ambapo wanajeshi hao hawajabadilisha sehemu wanazoshikilia kwa muda wa miezi kadhaa.

Makombora ya kila mara karibu na kiwanda hicho cha Nyuklia, yalipelekea kuwepo wasiwasi mkubwa kuhusu uwezekano wa janga kubwa na Nyuklia endapo kiwanda kingeharibiwa.

Russia na Ukraine wamekuwa wakishutumiana kwa miezi kadhaa kwa kurusha makombora karibu na kiwanda cha Zaporizhiizhia, ambacho kwa sasa hakizalishi nshati.

Wanajeshi wa Ukraine waemfanikiwa kudhibithi mji wa Kherson mwezi huu, pamoja na sehemu kubwa ya ukingo wa kulia wa Dnipro na mashariki mwa Zaporizhzhia.

Hata kherson ilianza tetesi hivi hivi.

Source: VOA
 
Ushindi mkubwa ni kuichukua tena Kherson huko kwingine wataondoka taratibu na muda ndio utakaongea...
 
kherson wakat counteroffensive inaanza zele aliwaambia kabisa shughuli itaanza siku flan. na kweli ikaanza. wengi humu wakaamza kuja na nyuzi za counteroffensive imeshindwa wapenda haki tukanyamaza
baada ya miez kama miwili tu tunaskia shoka moja mbuyu chini.
 
kherson wakat counteroffensive inaanza zele aliwaambia kabisa shughuli itaanza siku flan. na kweli ikaanza. wengi humu wakaamza kuja na nyuzi za counteroffensive imeshindwa wapenda haki tukanyamaza
baada ya miez kama miwili tu tunaskia shoka moja mbuyu chini.
Kherson hii hii ambayo 70% Bado Iko Russia ndio unasema mbuyu chini🤔🤔
 
Kherson hii hii ambayo 70% Bado Iko Russia ndio unasema mbuyu chini
Ukiangalia Raman ya Tanzania unafikiri dar es salaam inachukua asilimia NGAPI?
Ukiangalia dar es salaam ni kidogo tu.., lakini imagine kama mtu ataiteka dar es salaam.., tutakuwa na Tanzania gani bila dar es salaam?
Hicho ndicho kilichotokea kheson..,ni kwamba kheson city Iko mikononi mwa ukraine,huko kwingineko ni pembezon tu,
1669643642464.jpg


Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
 
Ukiangalia Raman ya Tanzania unafikiri dar es salaam inachukua asilimia NGAPI?
Ukiangalia dar es salaam ni kidogo tu.., lakini imagine kama mtu ataiteka dar es salaam.., tutakuwa na Tanzania gani bila dar es salaam?
Hicho ndicho kilichotokea kheson..,ni kwamba kheson city Iko mikononi mwa ukraine,huko kwingineko ni pembezon tu,View attachment 2429898

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Kwa akili Yako hii uliyoitumia hapa,kumbe mtu akichukua mikoa yote na kuteka Kisha akatuachia Dsm basi tutatamba Kwamba sehemu muhimu imebaki😃😃
 
Kwa akili Yako hii uliyoitumia hapa,kumbe mtu akichukua mikoa yote na kuteka Kisha akatuachia Dsm basi tutatamba Kwamba sehemu muhimu imebaki
Wewe wasema.., lakini ni ukweli kwamba hiyo dar es salaam,japo haifikii hata asilimia Moja ya nchi lakini ndo injini ya uchumi wa nchi hii.., Russia kafurushwa kheson city kakimbilia kheson ya mstuni huko

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
 
Wewe wasema.., lakini ni ukweli kwamba hiyo dar es salaam,japo haifikii hata asilimia Moja ya nchi lakini ndo injini ya uchumi wa nchi hii.., Russia kafurushwa kheson city kakimbilia kheson ya mstuni huko

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Sawa,Russia kwani anataka injini ya uchumi ya Ukraine?Russia anaweza kuligeuza pori kuwa eneo muhimu!
Hujasikia anavyoijenga Miji anayoikalia?Mariupol hamtaamini ni Ile iliyogeuzwa mji wa maghofu!
 
Sawa,Russia kwani anataka injini ya uchumi ya Ukraine?Russia anaweza kuligeuza pori kuwa eneo muhimu!
Hujasikia anavyoijenga Miji anayoikalia?Mariupol hamtaamini ni Ile iliyogeuzwa mji wa maghofu!
Hiyo kheson city aliyokuwa anaikalia alikuwa amefanya kipi Cha maana

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
 
Samaki katema ndoano.

Twende kazi

Mkuu wa shirika la nyuklia nchini Ukraine, Petro Kotin amesema kwamba kuna ishara kwamba wanajeshi wa Russia wanajitayarisha kuondoka kutoka kiwanda cha nyuklia cha Zaporizhzhia ambacho wamekuwa wakishikilia tangu mwezi March baada ya kuvamia nchini hiyo.

Endapo hilo litatokea, itakuwa mabadiliko makubwa katika vita vya Ukraine katika sehemu za kusini mashariki mwa eneo la Zaporizhzhia ambapo wanajeshi hao hawajabadilisha sehemu wanazoshikilia kwa muda wa miezi kadhaa.

Makombora ya kila mara karibu na kiwanda hicho cha Nyuklia, yalipelekea kuwepo wasiwasi mkubwa kuhusu uwezekano wa janga kubwa na Nyuklia endapo kiwanda kingeharibiwa.

Russia na Ukraine wamekuwa wakishutumiana kwa miezi kadhaa kwa kurusha makombora karibu na kiwanda cha Zaporizhiizhia, ambacho kwa sasa hakizalishi nshati.

Wanajeshi wa Ukraine waemfanikiwa kudhibithi mji wa Kherson mwezi huu, pamoja na sehemu kubwa ya ukingo wa kulia wa Dnipro na mashariki mwa Zaporizhzhia.

Hata kherson ilianza tetesi hivi hivi.

Source: VOA
Hii habari ni ya uongo
 
Several thousand employees of the Zaporizhzhya NPP received Russian citizenship, several thousand more apply for it - Rogov, Chairman of the movement "We are with Russia"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Samaki katema ndoano.

Twende kazi

Mkuu wa shirika la nyuklia nchini Ukraine, Petro Kotin amesema kwamba kuna ishara kwamba wanajeshi wa Russia wanajitayarisha kuondoka kutoka kiwanda cha nyuklia cha Zaporizhzhia ambacho wamekuwa wakishikilia tangu mwezi March baada ya kuvamia nchini hiyo.

Endapo hilo litatokea, itakuwa mabadiliko makubwa katika vita vya Ukraine katika sehemu za kusini mashariki mwa eneo la Zaporizhzhia ambapo wanajeshi hao hawajabadilisha sehemu wanazoshikilia kwa muda wa miezi kadhaa.

Makombora ya kila mara karibu na kiwanda hicho cha Nyuklia, yalipelekea kuwepo wasiwasi mkubwa kuhusu uwezekano wa janga kubwa na Nyuklia endapo kiwanda kingeharibiwa.

Russia na Ukraine wamekuwa wakishutumiana kwa miezi kadhaa kwa kurusha makombora karibu na kiwanda cha Zaporizhiizhia, ambacho kwa sasa hakizalishi nshati.

Wanajeshi wa Ukraine waemfanikiwa kudhibithi mji wa Kherson mwezi huu, pamoja na sehemu kubwa ya ukingo wa kulia wa Dnipro na mashariki mwa Zaporizhzhia.

Hata kherson ilianza tetesi hivi hivi.

Source: VOA
Humu kuba miropoko mingi sana aisee.
 
Back
Top Bottom