Jeshi la Tanzania wana kipi cha kujifunza kutoka Jeshi la Malawi?

uzio usio onekana

JF-Expert Member
Apr 21, 2019
776
2,404
FB_IMG_1593319084574.jpg
FB_IMG_1593073156275.jpg

FB_IMG_1593283111731.jpg


Saizi baada ya upinzani Nchini Malawi kushinda ushindi wa kishindo wa urais na ubunge bila shaka upinzani wanawashukuru sana wanajeshi wa Malawi na Majaji Baada ya kukukataa mamilion ya dollar ili kuwapa ushindi chama tawala hata mm kwa hilo ninawapa pongezi.

Saizi Tanzania matatizo mengi sana yametokea demokrasia imenajisiwa. watu wanapotea. watu wanauwawa wengine wanaokotwa baharini kama samaki. Na serikali wanasema ni watu wasio julikana.

Hadi Saizi Tanzania haizungumzwi tena kama ni nchi ya amani.

Kama wenzetu wanajeshi wananguvu wanaakili wanasilaha yani wanakila kitu na hawajawahi kuchukua hatua zozote. inamaana nao ni sehemu ya kulaumiwa.
 
Huwezi kulinganisha matatizo ya Malawi na Tanzania...kule kura zinapigwa kikabila..
 
Tatizo kubwa Tanzania ni kwa makamanda wetu kukubali teuzi za kisiasa. Mara wanateuliwa kuwa makamisaa ndani ya CCM, mara wakuu wa wilaya na mikoa. Hakika wanatuangusha sana wananchi.

Wanajeshi wetu wanasahau viapo vyao vya kulinda wananchi na mipaka ya nchi wamebaki kuwaabudu wanasiasa!
 
Fuatilia utajua ukweli...mshukuru Mungu kwa kuwa Mtanzania
Acha uzushi mkuu na kupenda kukuza mambo..tuelezee hapa jukwaani UKABILA huo kivipi.? Maana umeona hapo kuhusu nchi ya wenzetu(Malawi) jinsi inavyoheshimu box la kura pamoja na tume huru unataka kuhamisha magoli
 
Tatizo kubwa Tanzania ni kwa makamanda wetu kukubali teuzi za kisiasa. Mara wanateuliwa kuwa makamisaa ndani ya CCM, mara wakuu wa wilaya na mikoa. Hakika wanatuangusha sana wananchi.

Wanajeshi wetu wanasahau viapo vyao vya kulinda wananchi na mipaka ya nchi wamebaki kuwaabudu wanasiasa!
Jeshi la Tanzania ni mzigo
 
Acha uzushi mkuu na kupenda kukuza mambo..tuelezee hapa jukwaani UKABILA huo kivipi.? Maana umeona hapo kuhusu nchi ya wenzetu(Malawi) jinsi inavyoheshimu box la kura pamoja na tume huru unataka kuhamisha magoli
Ok nashukuru...Mimi sipo kwa ubishi hapa...wewe uko sahihi
 
Back
Top Bottom