Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 11,284
- 17,713
Kenya(Al Shabaab) , Somalia, Syria, Lebanon, Iraq, Nigeria, Central Africa, Mali, Cameroon, Sudan ... huko kote Nyerere aliingia?Kila Nyerere alipoingia kaleta balaa , Msumbiji mpaka leo ni shida
Maana huko kuna waasi kama wa Msumbiji wenye imani kali wale.
Chuki kwa Nyerere haitakusaidia bali inadumaza maendeleo yako na ya watu wako wa karibu.