jeshi la syria ladhibiti mji wa aleppo

mohamedidrisa789

JF-Expert Member
Jun 20, 2015
5,110
21,643
Aleppo wadhibitiwa kabisa na serikali ya Syria
  • 23 Disemba 2016
Mshirikishe mwenzako
Sambaza habari hii

Nakili kiunganisho hiki

Aleppo wadhibitiwa kabisa na serikali ya Syria - BBC Swahili
Unavyoweza kumshirikisha mwenzako
_93095719_mediaitem93095718.jpg
Image copyright AFP
Image caption Baadhi ya watu walikuwa wakisherehekea mjini Aleppo
Jeshi la Syria, limesema kuwa limechukua kabisa udhibiti wa mji wa Aleppo, baada ya kundi la mwisho la waasi kuondolewa kutoka mji huo, ulioharibiwa kabisa na vita.


Runinga ya taifa, imeonesha umati wa watu wakipeperusha bendera ya taifa hilo huku wakipaza sauti zao za kumuunga mkono Rais wa Syria Bashar al Asaad.

Ni ushindi mkubwa mno baada ya miaka sita ya mapigano ya wenyewe kwa wenyewe.


Takriban watu 34,000 na wapiganaja waasi wameondolewa kutoka eneo la mashariki mwa Aleppo wiki moja iliyopita.

Mapigano yaisha Mashariki mwa Aleppo

Maelfu ya watu wapelekwa sehemu salama Aleppo

Theluji kubwa, upepo mkali na hali mbaya ya barabara vimetatiza shughuli za kuwahamisha watu, hali ambayo imewalazimu maelfu ya watu kusubiri kwa saa nyingi.

Watu wanaohamishwa kutoka mashariki mwa Aleppo, hupelekwa eneo linalodhibitiwa na waasi magharibi mwa mji na mkoa wa Idlib.

Kama sehemu ya makubaliano kati ya Urusi na Uturuki, watu walio kwenye miji inayodhibitiwa na serikali ya Foah na Kafraya iliyo mkoa wa Idlib, unaozingirwa na waasi nao wameondolewa.

Yasser al-Youssef, wa kundi la waasi la Nureddin al-Zinki, alisema kuwa kutwaliwa kwa mji wa Aleppo ni pigo kubwa.

_93100196_405338d6-37ed-41b5-a513-0bea703c1413.jpg
Image copyright AFP
Image caption Zaidi ya watu 34,000 wamehamishwa tangu Alhamisi iliyopita
 
Aleppo wadhibitiwa kabisa na serikali ya Syria
  • 23 Disemba 2016
Mshirikishe mwenzako
Sambaza habari hii

Nakili kiunganisho hiki

Aleppo wadhibitiwa kabisa na serikali ya Syria - BBC Swahili
Unavyoweza kumshirikisha mwenzako
_93095719_mediaitem93095718.jpg
Image copyright AFP
Image caption Baadhi ya watu walikuwa wakisherehekea mjini Aleppo
Jeshi la Syria, limesema kuwa limechukua kabisa udhibiti wa mji wa Aleppo, baada ya kundi la mwisho la waasi kuondolewa kutoka mji huo, ulioharibiwa kabisa na vita.


Runinga ya taifa, imeonesha umati wa watu wakipeperusha bendera ya taifa hilo huku wakipaza sauti zao za kumuunga mkono Rais wa Syria Bashar al Asaad.

Ni ushindi mkubwa mno baada ya miaka sita ya mapigano ya wenyewe kwa wenyewe.


Takriban watu 34,000 na wapiganaja waasi wameondolewa kutoka eneo la mashariki mwa Aleppo wiki moja iliyopita.

Mapigano yaisha Mashariki mwa Aleppo

Maelfu ya watu wapelekwa sehemu salama Aleppo

Theluji kubwa, upepo mkali na hali mbaya ya barabara vimetatiza shughuli za kuwahamisha watu, hali ambayo imewalazimu maelfu ya watu kusubiri kwa saa nyingi.

Watu wanaohamishwa kutoka mashariki mwa Aleppo, hupelekwa eneo linalodhibitiwa na waasi magharibi mwa mji na mkoa wa Idlib.

Kama sehemu ya makubaliano kati ya Urusi na Uturuki, watu walio kwenye miji inayodhibitiwa na serikali ya Foah na Kafraya iliyo mkoa wa Idlib, unaozingirwa na waasi nao wameondolewa.

Yasser al-Youssef, wa kundi la waasi la Nureddin al-Zinki, alisema kuwa kutwaliwa kwa mji wa Aleppo ni pigo kubwa.

_93100196_405338d6-37ed-41b5-a513-0bea703c1413.jpg
Image copyright AFP
Image caption Zaidi ya watu 34,000 wamehamishwa tangu Alhamisi iliyopita

unaiamini bbc, hiki si ndo chombo ambacho kila siku tunasema ni cha propaganda za
magharibi na sio cha kuamini
 
Back
Top Bottom