Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,907
- 95,181
Kwa mujiu wa ITV, Jeshi la PolisI Zanzibar limefanya mazoezi ya kupambana na waandamanaji.
Hiyo inakuja siku chache baada ya Maalim Seif kuapa kuwa safari hii hakuna atakayekubali kuchakachuliwa kwenye matokeo ya kura.
Naona ngoma imeanza kulindima kila sehemu.
Hiyo inakuja siku chache baada ya Maalim Seif kuapa kuwa safari hii hakuna atakayekubali kuchakachuliwa kwenye matokeo ya kura.
Naona ngoma imeanza kulindima kila sehemu.