Jeshi la Polisi Tanzania lafikisha miaka 100

Kingsmann

JF-Expert Member
Oct 4, 2018
4,448
16,311
JESHI LA POLISI TANZANIA LAFIKISHA MIAKA 100 TANGU KUANZISHWA KWAKE HAPA NCHINI 1919.

IMG_20190826_074322.jpeg
 
NI sehemu gani huko Lushoto mahala palipoanzishwa jeshi la Polisi Tanzania?

Je, jeshi letu limetunza kumbukumbu zake za siku lilipoanzishwa?
 
jeshi la mkoloni hilo
Hivi maudhui ya jeshi la polisi la mkoloni ambalo mkuu wao ni chief constable bado maudhui ndiyo hayo hayo hata baada ya Uhuru? Wakati leo tuna IGP! Au bado mkoloni ana mkono wake
Hongera kwa JWTZ.
 
Hivi maudhui ya jeshi la polisi la mkoloni ambalo mkuu wao ni chief constable bado maudhui ndiyo hayo hayo hata baada ya Uhuru? Wakati leo tuna IGP! Au bado mkoloni ana mkono wake
Hongera kwa JWTZ.
yamefanyika maboresho kadhaa lakini sheria ni ileile ya mkoloni na utamaduni wa jeshi ni uleule wa mkoloni, kipaumbele sio kulinda raia na mali zake bali kulinda serikali. hii kazi ya kulinda serikali ndio ilikua kazi kuu ya jeshi la polisi la mkoloni
 
yamefanyika maboresho kadhaa lakini sheria ni ileile ya mkoloni na utamaduni wa jeshi ni uleule wa mkoloni, kipaumbele sio kulinda raia na mali zake bali kulinda serikali. hii kazi ya kulinda serikali ndio ilikua kazi kuu ya jeshi la polisi la mkoloni
safari bado ndeeefu kwa mantiki hiyo! inabidi wavae kaptula sasa !!
 
sasa si jeshi la mkoloni? Tanzania tangu imeanza haijafikisha huo umri(miaka 100)
 
Sasa watuambie wataadhimishe lini miaka 100 ya kumbabika kesi na kuonea raia kwa vipigo
 
Back
Top Bottom