Unadhani Mwinyi akiletwa huko Police hatafanya kama Lugola?Huyo lugola alikuwa askar polisi nadhan aliondolewa kazin akiwa nyota tatu pale magomeni na walifanya kazi kituo kimoja na IGP siro Sasa sijui ana kwama wapi lugola Mana utaratibu wote anaujua hii wizara Ina hitaji mtu mwenye busara Kama husein mwinyi hapa kwa lugola poor kabisa hamna kitu ana waibisha Sana askar police hopeless Sana anawavunja moyo askar wetu police
Ukiskia ile hutuba ya C law juzi na makamanda wa mikoa bado POLISI mnasafari ndefu nyinyi tu huko ndani ni vurugu mechi chek RPC wa ARUSHA nenda wa Dodoma nenda mcheki mambokale yaani utafikiri wako majeshi tofauti POLISI hawana standard moja ni double standardPolisi ni miongoni mwa wahanga wakubwa wa wanasiasa,hiyo yote nikwasababu wanashughulikia wananchi moja kwa moja,laiti na JWTZ wangekua wanadili na hawa raia wenye lawama kila uchwao,hakika wangevunjika mioyo.
Aliyoongea CLAW yawezekana kabisa ilikua ni namna yakujionyesha kwa MKUBWA ambaye ni mteule wake,na vilevile kuweka mambo sawa kutokana nakusemwa vibaya na baadhi ya ma-R.IPs.Ukiskia ile hutuba ya C law juzi na makamanda wa mikoa bado POLISI mnasafari ndefu nyinyi tu huko ndani ni vurugu mechi chek RPC wa ARUSHA nenda wa Dodoma nenda mcheki mambokale yaani utafikiri wako majeshi tofauti POLISI hawana standard moja ni double standard
Nakumbuka Kangi Lugola alishawaamrisha polisi kumkamata Zitto kwa kufanya mkutano jimbo ambalo sio la kwake wakamgomea. Kangi amegomewa mara nyingi sana hadi akaona imezidi akashtaki kwa MagufuliMkuu alishawaambia watembee vifua mbele kwani yuko nyuma yao. Amri pekee walioamriwa kuifuata bila hata kuhitaji sheria inasemaje ktk hilo ni zile zinazohisu Wanasiasa wa Upinzani Nchini. Yaani kuwaazuia wasitekeleze majukumu yao pamoja na kuwakamata na kuwafungulia kesi zozote zitakazomfurahishi Mkuu.
Sasa leo wanaumbuana hadharani mbele ya Wananchi wanaowaongoza.
Kauli za Mkuu ndiyo chanzo cha haya yote na si udhaifu wa Jeshi lenyewe. Ukiwa Kiongozi kisha unashiriki vitendo vya kutotii sheria basi hata amri ziko zitapuuzwa vile vile. Kiongozi anapaswa kuwa kinara wa kuzifuata Sheria za Nchi ndipo wale wote wa chini watatii amri zile bila shuruti.
Wanasema hata simba akiamua kula majani,basi ni ili atapike minyama iliyomkaba.hatakula kama anavyokula faru.Unadhani Mwinyi akiletwa huko Police hatafanya kama Lugola?
Yatakua yaleyale tu.
Kwa majungu wizara ya mambo ya ndani kunaongozaHuyu atapigwa jungu moja mpaka ajikute jimboni kwakwe anakula mabumunda.
Polisi ni washenzi sana,hajui ni kwanini ni wizara yenye mawaziri wengi kuliko nyingine tangu uhuru!!!!
Ilikuwa kisiasa zaidi kumtoa madeluAliyeonelea inafaa kumtoa mwigulu na kimuweka huyu.hakufikiri sawa sawa.
Mkuu alishawaambia watembee vifua mbele kwani yuko nyuma yao. Amri pekee walioamriwa kuifuata bila hata kuhitaji sheria inasemaje ktk hilo ni zile zinazohisu Wanasiasa wa Upinzani Nchini. Yaani kuwaazuia wasitekeleze majukumu yao pamoja na kuwakamata na kuwafungulia kesi zozote zitakazomfurahishi Mkuu.
Sasa leo wanaumbuana hadharani mbele ya Wananchi wanaowaongoza.
Kauli za Mkuu ndiyo chanzo cha haya yote na si udhaifu wa Jeshi lenyewe. Ukiwa Kiongozi kisha unashiriki vitendo vya kutotii sheria basi hata amri ziko zitapuuzwa vile vile. Kiongozi anapaswa kuwa kinara wa kuzifuata Sheria za Nchi ndipo wale wote wa chini watatii amri zile bila shuruti.