Jeshi la Polisi ndilo linalowatengeneza akina "Hamza" hapa nchini

M-mbabe

JF-Expert Member
Oct 29, 2009
13,203
23,020
So far nchi yetu haijaweza kukumbwa na matukio ya moja kwa moja ya ugaidi kama ambavyo imekuwa ikitokea katika nchi nyingine za Africa na kwingineko.

Sababu kubwa si nyingine bali ni ile tabia/hali ambayo Watanzania tumejengewa tangu tupate uhuru - uoga wa kutokuhoji (docility) hata pale inapobidi kufanya hivyo. Kwa mambo ambayo watawala wa nchi hii wamekuwa wakiyafanya dhidi ya raia wasiowapenda, sidhani kama kungekosekana kuibuka kwa vikundi vya uasi, ambavyo mara nyingi hutafsiriwa kuwa ni vya kigaidi.

Kwa kweli katika hili, pamoja na yake mengine mazuri yote, Mwalimu (baba wa taifa JKN) alitupoteza.

Lakini, hakuna marefu yasiyokuwa na ncha.

Kama Mwalimu mwenyewe wakati wa uhai wake alivyowahi kukiri na kutuasa kuhusu ubovu wa katiba yetu - kwamba akiingia rais ambaye kupuuzia haki za wananchi anaona ni jambo la kawaida basi anaweza kuitumbukiza nchi katika sintofahamu (siyo nukuu ya moja kwa moja lakini hii ndiyo tafsiri rahisi kabisa ya hofu aliyokuwa nayo Mwalimu)

Sisi sote tumekuwa mashuhuda wa "unabii" huu wa Mwalimu baada ya Magufuli kuwa rais ambapo aliyempokea (Samia) ameendeleza palepale alipoishia mtangulizi wake.

Chini ya awamu ya 5 & 6, tumeshuhudia chama tawala na serekali yake vikijificha nyuma ya jeshi la polisi kwa kujinaisha (criminalize) shughuli halali za kisiasa na uanaharakati kutoka ndani na nje ya chama chao. Na kama tulivyoshuhudia siku za hivi karibuni, mmoja wa makada wa chama tawala amefanya mauaji dhidi ya polisi katika tukio ambalo limetafsiriwa kama ni kisasi dhidi ya jeshi la polisi (ambalo katika nyakati hizi limepewa nguvu kubwa sana sana na serakali na limekuwa likishiriki katika vitendo vya uonevu, unyanyasaji na sehemu nyingine tumekuwa tukipewa taarifa juu ya kuuawa kwa wahalifu na wasio wahalifu bila kufuata mkondo wa kisheria kama inavyotakikana chini ya katiba).

Aidha, wanachama na viongozi mbalimbali wa vyama vya siasa na wanaharakati wamekuwa wakikamatwa bila kufuata sheria na kuachiwa kama vile ni jambo la kawaida kabisa. Hii si trend yenye afya kwa mustakabali wa taifa letu. Watu wanaofanyiwa hivi wana watu kwa mamilioni nyuma yao, hivyo chuki dhidi ya jeshi la polisi na serekali ni dhahiri itakuwa inazidi kujengeka ndani ya mioyo mamilioni miongoni mwa ya jamii athirika ya Watanzania. This, needlessly, sets up our beloved country as a potential breeding ground for "The HAMZAs" of this world.

President Samia (my president and above all my dear sister) - please take note and act NOW before this situation gets out of hand. I beg!

Latest episode ya uonevu wa unaofanywa na jeshi la polisi ni hili tukio hapa chini lililotokea leo huko mkoani Mara.

1630744898670.png
 
It got to stop to prevent our country from crumbling...
 
Ameen mtoa hoja umenena vema,na kama middle class wote tungekua na mawazo kama haya definitely tungekua tumepiga hatua mbele,ukondoo huu ndio maana watawala wanatugeuza geuza kama mchoma mahindi huku kwetu Lingusenguse
Kwa kweli hali hii inabidi asimame mtu ndani ya establishment yenyewe aseme "basi" - otherwise kutaibuka kina HAMZA.

Ugaidi ni uoga mwingine lakini ni uoga mbaya zaidi na usiofaa. So, let the government act to stop the country from being the breeding ground ya huu uoga mbaya!
 
So far nchi yetu haijaweza kukumbwa na matukio ya moja kwa moja ya ugaidi kama ambavyo imekuwa ikitokea katika nchi nyingine za Africa na kwingineko.

Sababu kubwa si nyingine bali ni ile tabia/hali ambayo Watanzania tumejengewa tangu tupate uhuru - uoga wa kutokuhoji (docility) hata pale inapobidi kufanya hivyo. Kwa mambo ambayo watawala wa nchi hii wamekuwa wakiyafanya dhidi ya raia wasiowapenda, sidhani kama kungekosekana kuibuka kwa vikundi vya uasi, ambavyo mara nyingi hutafsiriwa kuwa ni vya kigaidi.
Kwa kweli katika hili, pamoja na yake mengine mazuri yote, Mwalimu (baba wa taifa JKN) alitupoteza.

Lakini, hakuna marefu yasiyokuwa na ncha.

Kama Mwalimu mwenyewe wakati wa uhai wake alivyowahi kukiri na kutuasa kuhusu ubovu wa katiba yetu - kwamba akiingia rais ambaye kupuuzia haki za wananchi anaona ni jambo la kawaida basi anaweza kuitumbukiza nchi katika sintofahamu (siyo nukuu ya moja kwa moja lakini hii ndiyo tafsiri rahisi kabisa ya hofu aliyokuwa nayo Mwalimu).

Sisi sote tumekuwa mashuhuda wa "unabii" huu wa Mwalimu baada ya Magufuli kuwa rais ambapo aliyempokea (Samia) ameendeleza palepale alipoishia mtangulizi wake.

Chini ya awamu ya 5 & 6, tumeshuhudia chama tawala na serekali yake vikijificha nyuma ya jeshi la polisi kwa kujinaisha (criminalize) shughuli halali za kisiasa na uanaharakati kutoka ndani na nje ya chama chao. Na kama tulivyoshuhudia siku za hivi karibuni, mmoja wa makada wa chama tawala amefanya mauaji dhidi ya polisi katika tukio ambalo limetafsiriwa kama ni kisasi dhidi ya jeshi la polisi (ambalo katika nyakati hizi limepewa nguvu kubwa sana sana na serakali na limekuwa likishiriki katika vitendo vya uonevu, unyanyasaji na sehemu nyingine tumekuwa tukipewa taarifa juu ya kuuawa kwa wahalifu na wasio wahalifu bila kufuata mkondo wa kisheria kama inavyotakikana chini ya katiba).

Aidha, wanachama na viongozi mbalimbali wa vyama vya siasa na wanaharakati wamekuwa wakikamatwa bila kufuata sheria na kuachiwa kama vile ni jambo la kawaida kabisa. Hii si trend yenye afya kwa mustakabali wa taifa letu. Watu wanaofanyiwa hivi wana watu kwa mamilioni nyuma yao, hivyo chuki dhidi ya jeshi la polisi na serekali ni dhahiri itakuwa inazidi kujengeka ndani ya mioyo mamilioni miongoni mwa ya jamii athirika ya Watanzania. This, needlessly, sets up our beloved country as a potential breeding ground for "The HAMZAs" of this world.

President Samia (my president and above all my dear sister) - please take note and act NOW before this situation gets out of hand. I beg!

Latest episode ya uonevu wa unaofanywa na jeshi la polisi ni hili tukio hapa chini lililotokea leo huko mkoani Mara.

View attachment 1923267
Halafu hawa makamanda wajinga wajinga, sijui wanaokotwa wapi!!
 
Lazima wananchi ufike wakati tuseme kuwa, SASA BASI.

1) Polisi kama wanapenda ujinga, basi wabaki nao wenyewe. Tusilazimishwe kuishi kwenye ujinga.

2) CCM inaungwa mkono zaidi na watu wajinga (kwa kadiri ya utafiti wa TWAWEZA). Wajinga waendelee na ujinga wao ndani ya CCM. Wenye akili na werevu tusikubali kuburuzwa na hili kundi la wajinga iwe ndani au nje ya CCM.

Lakini tutambue kuwa mwendawazimu ni rahisi sana kukujeruhi hata kukuua kuliko mtu mwenye akili timamu. Tunapambana na kundi hatari.
 
Tunasubiri watutangazie mkutano kwenye uwanja wa Taifa au popote pale na vizuri wakijua CCM wana mkutano wa hadhara na wao waunge hapo hapo ndio utakuwa mwanzo wa kusuka au kunyoa , yaani mkiona CCM wanaandaa hii mikutano yao na nyinyi mnajulishana makutano hapo hapo mnafika hapo hapo na katikati ya mkutano mnazusha mkutano wenu japo hamna maspika bendera zinatosha.
 
So far nchi yetu haijaweza kukumbwa na matukio ya moja kwa moja ya ugaidi kama ambavyo imekuwa ikitokea katika nchi nyingine za Africa na kwingineko.

Sababu kubwa si nyingine bali ni ile tabia/hali ambayo Watanzania tumejengewa tangu tupate uhuru - uoga wa kutokuhoji (docility) hata pale inapobidi kufanya hivyo. Kwa mambo ambayo watawala wa nchi hii wamekuwa wakiyafanya dhidi ya raia wasiowapenda, sidhani kama kungekosekana kuibuka kwa vikundi vya uasi, ambavyo mara nyingi hutafsiriwa kuwa ni vya kigaidi.

Kwa kweli katika hili, pamoja na yake mengine mazuri yote, Mwalimu (baba wa taifa JKN) alitupoteza.

Lakini, hakuna marefu yasiyokuwa na ncha.

Kama Mwalimu mwenyewe wakati wa uhai wake alivyowahi kukiri na kutuasa kuhusu ubovu wa katiba yetu - kwamba akiingia rais ambaye kupuuzia haki za wananchi anaona ni jambo la kawaida basi anaweza kuitumbukiza nchi katika sintofahamu (siyo nukuu ya moja kwa moja lakini hii ndiyo tafsiri rahisi kabisa ya hofu aliyokuwa nayo Mwalimu)

Sisi sote tumekuwa mashuhuda wa "unabii" huu wa Mwalimu baada ya Magufuli kuwa rais ambapo aliyempokea (Samia) ameendeleza palepale alipoishia mtangulizi wake.

Chini ya awamu ya 5 & 6, tumeshuhudia chama tawala na serekali yake vikijificha nyuma ya jeshi la polisi kwa kujinaisha (criminalize) shughuli halali za kisiasa na uanaharakati kutoka ndani na nje ya chama chao. Na kama tulivyoshuhudia siku za hivi karibuni, mmoja wa makada wa chama tawala amefanya mauaji dhidi ya polisi katika tukio ambalo limetafsiriwa kama ni kisasi dhidi ya jeshi la polisi (ambalo katika nyakati hizi limepewa nguvu kubwa sana sana na serakali na limekuwa likishiriki katika vitendo vya uonevu, unyanyasaji na sehemu nyingine tumekuwa tukipewa taarifa juu ya kuuawa kwa wahalifu na wasio wahalifu bila kufuata mkondo wa kisheria kama inavyotakikana chini ya katiba).

Aidha, wanachama na viongozi mbalimbali wa vyama vya siasa na wanaharakati wamekuwa wakikamatwa bila kufuata sheria na kuachiwa kama vile ni jambo la kawaida kabisa. Hii si trend yenye afya kwa mustakabali wa taifa letu. Watu wanaofanyiwa hivi wana watu kwa mamilioni nyuma yao, hivyo chuki dhidi ya jeshi la polisi na serekali ni dhahiri itakuwa inazidi kujengeka ndani ya mioyo mamilioni miongoni mwa ya jamii athirika ya Watanzania. This, needlessly, sets up our beloved country as a potential breeding ground for "The HAMZAs" of this world.

President Samia (my president and above all my dear sister) - please take note and act NOW before this situation gets out of hand. I beg!

Latest episode ya uonevu wa unaofanywa na jeshi la polisi ni hili tukio hapa chini lililotokea leo huko mkoani Mara.

View attachment 1923267
Msimlaumu RPC,KUMBUKA NI MAAAGIZO KUTOKA JUU.RPC ana familia ,isitoshe muda wa kustaafu umekaribia atapinganaje na walio juu yake?
 
Mbona ccm wao wanafanya makongamano kama kawaida?
Kwani hii nchi ni ya mama yao peke yao?
Inaudhi sana sana!
Kuna siku hii nchi 'tutagawana' fito mchana kweupe!
 
Lazima wananchi ufike wakati tuseme kuwa, SASA BASI.

1) Polisi kama wanapenda ujinga, basi wabaki nao wenyewe. Tusilazimishwe kuishi kwenye ujinga.

2) CCM inaungwa mkono zaidi na watu wajinga (kwa kadiri ya utafiti wa TWAWEZA). Wajinga waendelee na ujinga wao ndani ya CCM. Wenye akili na werevu tusikubali kuburuzwa na hili kundi la wajinga iwe ndani au nje ya CCM.

Lakini tutambue kuwa mwendawazimu ni rahisi sana kukujeruhi hata kukuua kuliko mtu mwenye akili timamu. Tunapambana na kundi hatari.
Ukicheza na mwendawazimu atakutoboa macho. Unapaswa kumuwahi kabla yake.
 
Msimlaumu RPC,KUMBUKA NI MAAAGIZO KUTOKA JUU.RPC ana familia ,isitoshe muda wa kustaafu umekaribia atapinganaje na walio juu yake?
Kwenye vita anayetandikwa ni yule askari aliye mstari wa mbele, siyo amiri jeshi mkuu ambaye yuko mbali na battlefield.
 
Back
Top Bottom