nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,613
Kwa lipi? Kwa huo uhuni wa maccm na masalia? Ina maana jeshi la polis linawaogopa hao wahuni? Any way, kama kusitisha wasitishe labda huko kigoma, sisi tunatamani sana dr. Slaa aje huku kusini, kigoma wao hushabikia mtu na sio chama, na huo ni ubinafsi. TANZANIA KWANZA, NA chadema pia, zitto na wengine baadae!