Ni kweli kuna hiyo habari ya vigezo vya kujiunga na jeshi la polisi ilikuwa ikitumwa kwenye magroup ya whatsapp, na hali ilivo kwa sasa ajira hakuna, life linazidi kukaza kamba ni rahisi sana mtu kudanganyika na hao wahuni wakala mtaji na mwisho wa siku akakosa vyote
Jeshi la polisi limefanya vizuri kutoa taarifa mapema
Kazi za polisi kwasasa kutoka ni ngumu maana KIBITI kwasasa hali ni shwari,mwenzenu mie nilikuwa na matumaini kipindi kile KIBITI BOYS wanatembeza CHUMA ndio zitatoka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.