Baba Bless
New Member
- Mar 27, 2018
- 2
- 2
Jeshi la polisi wametangaza vigezo na masharti ya kutuma maombi ya nafasi za kazi baadhi ya masharti hayo ni kama ifuatavyo.
1.elimu kidato cha nne,sita,certficate,diploma na degree
2.usiwe na tattoo
3.mtanzania umri kuanzia miaka 18
4.uwe na mafunzo kutoka jkt/jku
5.uwe hujaoa/kuolewa
=====
Jeshi la Polisi nchini latangaza nafasi za ajira kwa mwaka 2017/2018 kwa vijana waliopita mafunzo ya JKT/JKU.
1.elimu kidato cha nne,sita,certficate,diploma na degree
2.usiwe na tattoo
3.mtanzania umri kuanzia miaka 18
4.uwe na mafunzo kutoka jkt/jku
5.uwe hujaoa/kuolewa
=====
Jeshi la Polisi nchini latangaza nafasi za ajira kwa mwaka 2017/2018 kwa vijana waliopita mafunzo ya JKT/JKU.