GHIBUU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 4,432
- 3,006
NI MAZOMBI TENA YAKIENDELEZA SERA YA MAPINDUZI DAIMA
Ndugu Abdullah Ahmeid juma pichani mwenye umri wa miaka 29, mkaazi wa mchangani kisiwani Unguja. Ni mfanya biashara ndogo ndogo. Amepigwa vibaya na Mazombi na kunyang'anywa kila kitu chake. Pia kumvua nguo ikisha kumchoma moto mikononi na miguuni na kumpora laki 8. Vitu walivyomuibia ni saa ya mkononi, simu kisha na kumvua nguo zote na kumuacha uchi kama alivyo zaliwa.
Hivi sasa yuko kwa mama yake mtoni akiuguza majeraha, mama yake anaitwa Rukia Ali Faki ni mstaafu wa fire brigades.
Haya hapa ni maelezo ya mama yake ndugu Abdullah Ahmeid juma
"Serekali yenu hawataki watoto wetu wabangaize. Wamewavunjia michenzani kwaio anapita akibangaiza nguo zake anauza mitaani huko wamemkuta kaziweka chini kwahiyo wamemkamata, wakamvuruga, wakampiga, wakammaliza kila kitu wakamuibia kila kitu wakamuacha uchi kama alivozaliwa. Saa, Simu pesa taslimu laki nane na nguo zote na vitu vyote alivyokuwa navo kisha wakampiga kisha wakamtupa"
"Nnae mwenyewe tumempeleka hospitali jana kapata huduma za shindano kwahiyo ninae mwenyewe namtia tia dawa hapa. Nimeenda kumnunulia dawa ya moto kwa sababu wamemuunguza kwa maplastik kwenye miguu mote mpaka mikononi, kama mwizi alivyokuwa. Kwahiyo nimemshamnunulia dawa ndio namuuguza hapa hapa nyumbani kwangu mniombee dua M/Mungu amjaalie apoe".
Breaking news:- hio kijana mwenzetu huyoo amepigwa na mazombi huko Unguja ekesha amenyanganywa pesa kiasi cha laki 8 lkn kosa lake ni kupanga biashara chini na kutafuta riski yake na hizo ndio ajira zenyewe kwnn wampige kama hivyo halafu wamchukulie kila kitu chake wam bakishe uchi Serikali ya Unguja na Polisi wake hivi vitendo hawavioni hemu nisaidie kuwafikishia hii habari haki za Binaadamu...
Ndugu Abdullah Ahmeid juma pichani mwenye umri wa miaka 29, mkaazi wa mchangani kisiwani Unguja. Ni mfanya biashara ndogo ndogo. Amepigwa vibaya na Mazombi na kunyang'anywa kila kitu chake. Pia kumvua nguo ikisha kumchoma moto mikononi na miguuni na kumpora laki 8. Vitu walivyomuibia ni saa ya mkononi, simu kisha na kumvua nguo zote na kumuacha uchi kama alivyo zaliwa.
Hivi sasa yuko kwa mama yake mtoni akiuguza majeraha, mama yake anaitwa Rukia Ali Faki ni mstaafu wa fire brigades.
Haya hapa ni maelezo ya mama yake ndugu Abdullah Ahmeid juma
"Serekali yenu hawataki watoto wetu wabangaize. Wamewavunjia michenzani kwaio anapita akibangaiza nguo zake anauza mitaani huko wamemkuta kaziweka chini kwahiyo wamemkamata, wakamvuruga, wakampiga, wakammaliza kila kitu wakamuibia kila kitu wakamuacha uchi kama alivozaliwa. Saa, Simu pesa taslimu laki nane na nguo zote na vitu vyote alivyokuwa navo kisha wakampiga kisha wakamtupa"
"Nnae mwenyewe tumempeleka hospitali jana kapata huduma za shindano kwahiyo ninae mwenyewe namtia tia dawa hapa. Nimeenda kumnunulia dawa ya moto kwa sababu wamemuunguza kwa maplastik kwenye miguu mote mpaka mikononi, kama mwizi alivyokuwa. Kwahiyo nimemshamnunulia dawa ndio namuuguza hapa hapa nyumbani kwangu mniombee dua M/Mungu amjaalie apoe".
Breaking news:- hio kijana mwenzetu huyoo amepigwa na mazombi huko Unguja ekesha amenyanganywa pesa kiasi cha laki 8 lkn kosa lake ni kupanga biashara chini na kutafuta riski yake na hizo ndio ajira zenyewe kwnn wampige kama hivyo halafu wamchukulie kila kitu chake wam bakishe uchi Serikali ya Unguja na Polisi wake hivi vitendo hawavioni hemu nisaidie kuwafikishia hii habari haki za Binaadamu...