Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 27,538
- 34,861
Hata kujiita laki si pesa ni kudharau thamani ya pesa ya Kitanzania unatakiwa uhojiwe WW.mmh hizo pesa hawajazichana...wamezikanyaga tu na kuendelea kuzitumia...hapo hamna kosa ni upuuzo tu., ni sawa na kuweka pesa kwenye wallet halafu ukalie hiyo wallet....kwa hiyo na wewe ushtakiwe kwa kukalia wallet