4G LTE
JF-Expert Member
- Aug 4, 2015
- 6,777
- 10,533
Serikali na vyombo vyake ulinzi mnashupaza shingo huku damu ya raia mmeimwaga mchana kweupe tena kanisani... Wanahizaya kweli nyinyi.mtasingizia watu tuhuma za mauaji hadi lini?
Sent using Jamii Forums mobile app