Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 10,441
- 12,862
Vijana wanavuta bangi na kuiba majumbani kwa watu mitaani mchana kwenye.
Wapo Mecco Kunduchi. Jeshi la polisi limeshindwa kuwachukulia hatua na kuua kabsa maskani hii.
Polisi wakija doria nao wanavuta bangi pamoja nao.
Wananchi wanaumia wao wapo tu?
Kama hawa mateja wanawashinda majambazi mtaweza nyie?
Wapo Mecco Kunduchi. Jeshi la polisi limeshindwa kuwachukulia hatua na kuua kabsa maskani hii.
Polisi wakija doria nao wanavuta bangi pamoja nao.
Wananchi wanaumia wao wapo tu?
Kama hawa mateja wanawashinda majambazi mtaweza nyie?