Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,013
- 144,371
Hicho kwa sasa ni chama cha waoga!!Baadaye utasikia CCM watajitapa ushindi wa kishindo huku serikali yake ya kidikteta hairuhusu siasa za vyama vingi kufanya shughuli za kisiasa zilizoainishwa ktk katiba ya nchi.
hiyo ndio njia pekee iliyosaliaKuna siku wananchi tutawakamata na wao
Kama Mh. Rais anataka kuwe na Tanzania yenye mtangamano basi Siro anatakiwa awe mtu wa pili kumfuata yule wa TISS. Polisi wanaonyesha mapenzi ya wazi kwa Ccm kama tiss ilivyo kuwa kwa wapinzaniView attachment 1207320
Yeye na viongozi wengine walikuwa katika shughuli halali za chama chao jimbo la Temeke , lakini kwa vile polisi wameamua kuitumikia ccm wamewakamata .
Muda wote wapinzani wanakamatwa Na polis wakati wakitimiza wajibu wao.ccm wala hawaguswi...kwa nini wapinzani wasikimbilie mahakamani? Japo tunajua mahakama imeanza egemea kwa serikali...
Kwenda mahakamani kwa sasa ni kupoteza muda tu na kujiongezea hasira hivyo ni bora kufikia plan "B".Muda wote wapinzani wanakamatwa Na polis wakati wakitimiza wajibu wao.ccm wala hawaguswi...kwa nini wapinzani wasikimbilie mahakamani? Japo tunajua mahakama imeanza egemea kwa serikali...