Jeshi la Polisi lazuia mkutano wa Mbowe, atakiwa kuripoti Polisi Kinondoni

JM3

Senior Member
Dec 13, 2019
157
328
Mkutano wa M/kiti wa Chadema, Freeman Mbowe uliokuwa ufanyike mubashara hii leo Mei 14, 2020 kwa lengo la kuzungumza na umma, hautafanyika kwa kuwa Mbowe ametakiwa kuripoti katika kituo cha Polisi cha Oyster Bay.

Mkutano huu umehairishwa baada ya M/ kiti wa Chama Taifa Mhe. Freeman Mbowe wakati akijiandaa kuelekea kuanza mkutano huo, alipokea wito wa Jeshi la Polisi nchini kumtaka akaripoti Kituo cha Polisi, Polisi hawakusema sababu ya wito huo. Mhe. Mbowe ameambatana na wakili.


makene.JPG
 
Back
Top Bottom