Jeshi la Polisi lazuia mkutano wa Mbowe, atakiwa kuripoti Polisi Kinondoni

Mbowe ni msanii tu.......alishajua atakamatwa na polisi kufuatia lile agizo la RC Makonda.

Kama kweli angekuwa na hoja za kuongea mkutano angeufanyia Dodoma!

Mbowe anaihujumu Chadema ili ipoteze ushawishi na yeye aendelee kuimiliki kama chama cha " mfukoni" namna ilivyo UDP na TLP!
Mjomba si ufiche ujinga kidogo,mbowe yuko dar kwa ajili ya kesi na karantin yao iliisha jana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siasa bana, Mbowe anajua umuhimu wa kutokusanyika ndiyo maana hayuko Bungeni, na ndiyo maana walifanya mkutano wa chama kupitia mtandao.

Leo nini kimemtuma kutaka kutoka nje kwenda kuonana na waandishi?

Kwa nini asingerekodi halafu akawatumia waandishi au akaifanya live kupitia YouTube?

Nadhani alijua polisi watamzuia na ndicho alichokuwa anahitaji.
 
Hakuna sheria inayozuia mkutano wa kisiasa
Huo ni usanii wa Serikali inayoogopa kwa kuwa imechokwa
Sheria, sheria mpaka lini? Ilipotungwa ilielewa kuna Corona? Ni mtu mzembe tu ndo anahitaji kufanya mkutano enzi hizi za Webex, Zoom, youtube, nk. Hawezi kusema yake kupitia mitandao? Ni mzembe!
 
Sheria, sheria mpaka lini? Ilipotungwa ilielewa kuna Corona? Ni mtu mzembe tu ndo anahitaji kufanya mkutano enzi hizi za Webex, Zoom, youtube, nk. Hawezi kusema yake kupitia mitandao? Ni mzembe!
Mwenyekiti wa ccm alipoongea na waandishi huko chato naye ni mzembe?
 
Hakuna sheria aliovunja na hata kutokuwepo Dodoma bado hajavunja sheria na kama ni kumdai posho apewe document ya madai kutoka ofisi ya Bunge au wito wa madai kutoka mahakamani na akikaidi ndio akamtwe.

Hizi ni chuki tu kisiasa na hamna lingine.
 
Mkutano wa M/kiti wa Chadema, Freeman Mbowe uliokuwa ufanyike mubashara hii leo Mei 14, 2020 kwa lengo la kuzungumza na umma, hautafanyika kwa kuwa Mbowe ametakiwa kuripoti katika kituo cha Polisi cha Oyster Bay.

Mkutano huu umehairishwa baada ya Mkiti wa Chama Taifa Mhe. Freeman Mbowe wakati akijiandaa kuelekea kuanza mkutano huo, alipokea wito wa Jeshi la Polisi nchini kumtaka akaripoti Kituo cha Polisi, Polisi hawakusema sababu ya wito huo. Mhe. Mbowe ameambatana na wakili.


Mbona kichwa cha habari ni tofauti na habari yenyewe
 
Mkutano wa M/kiti wa Chadema, Freeman Mbowe uliokuwa ufanyike mubashara hii leo Mei 14, 2020 kwa lengo la kuzungumza na umma, hautafanyika kwa kuwa Mbowe ametakiwa kuripoti katika kituo cha Polisi cha Oyster Bay.

Mkutano huu umehairishwa baada ya Mkiti wa Chama Taifa Mhe. Freeman Mbowe wakati akijiandaa kuelekea kuanza mkutano huo, alipokea wito wa Jeshi la Polisi nchini kumtaka akaripoti Kituo cha Polisi, Polisi hawakusema sababu ya wito huo. Mhe. Mbowe ameambatana na wakili.


Bila Polisi ccm ni wepesi kuliko pamba
 
Mkutano wa M/kiti wa Chadema, Freeman Mbowe uliokuwa ufanyike mubashara hii leo Mei 14, 2020 kwa lengo la kuzungumza na umma, hautafanyika kwa kuwa Mbowe ametakiwa kuripoti katika kituo cha Polisi cha Oyster Bay.

Mkutano huu umehairishwa baada ya Mkiti wa Chama Taifa Mhe. Freeman Mbowe wakati akijiandaa kuelekea kuanza mkutano huo, alipokea wito wa Jeshi la Polisi nchini kumtaka akaripoti Kituo cha Polisi, Polisi hawakusema sababu ya wito huo. Mhe. Mbowe ameambatana na wakili.


Akapimwe covid 19 kwanza. Pia Kama karantini imeisha aende bungeni Idodomya
 
Mbowe The Great

FB_IMG_1589397986327.jpg
 
Back
Top Bottom