imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 46,676
- 71,034
Alikuwa kantini anakula
Alikuwa kantini anakula
Sheria gani?Chadema kwa kuvunja sheria hawajambo
Huyu Mbowe si alisema yupo karantini Dodoma? Spika Ndugai yupo sahihi hatuwezi kulipa matapeli wa kisiasa
Siku 14 ziliishaHuyu Mbowe si alisema yupo karantini Dodoma?Spika Ndugai yupo sahihi hatuwezi kulipa matapeli wa kisiasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sheria gani?
Ataenda "KUFUNGWA LOCK UP MOJA" na "WAGONJWA WA COVID-19".
Hii serikali ya jiwe ni ya kinyama sana. Ni haki kambisa yule aliowaambia watu fulani "WATAISHI KAMA MASHETANI", sasa mungu kamfanya yeye ndio "ANAISHI KAMA SHETANI".
Kibali cha nini?Alipewa kibali?
Chadema wasanii wa kutupwaLakini mbona alisema yupo karantinj Dodoma? Na akasisitiza hawatasafiri
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashangaa ila mkutano wa kuwavua uanachama hakina Silinde walifanya video conference.Huyu nae kwa nini hasifanye live streaming kwenye internet applications?
Kibali cha nini?
Walikuwa mahakamaniTuliosema warudishe posho wabunge wa chadema waliojifanya wako Lockdown hatukukosea wako Dar wanajirusha Mbowe huyo yuko Dar hayuko dodoma
Kwa hiyo Mwenyekiti wa Ccm alipokuwa anaongea na waadishi huko Chato ilikuwa sio mkusanyiko?Cha kufanya mkusanyiko