Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,498
- 51,092
Hili siyo jeshi la polisi hii ni mob
Jeshi la kweli la polisi haliwezi kuwa la ajabuajabu kama hili
Jeshi la kweli la polisi haliwezi kuwa la ajabuajabu kama hili
Ninyi dawa yenu ni Hamza!Lema, anasema uoga ni dhambi ya milele wakati yeye kakimbia yuko uhamishoni na watoto wake na mkewe daah.
Hao wako tayari kuua raia sababu ya ego tu.Kongamano lipo palepale ama mmekubaliana na katazo la polisi?
Mungu wabariki WazunguNdio maana Denmark wameamua kufunga ubalozi wao.
Kongamano lipo ama halipo? jibu ili watu wasichome nauliHao wako tayari kuua raia sababu ya ego tu.
Wanadhani wana nguvu sana sababu ya silaha wanazobeba, kama wao wanaume kweli wawagawie raia silaha na wao wawe na silaha kisha waone kama kuna mtu atawaogopa
Au waweke silaha chini zipigwe kavukavu, man to man na raia waone kama hawajakimbia!
Lema, anasema uoga ni dhambi ya milele wakati yeye kakimbia yuko uhamishoni na watoto wake na mkewe daah.
..Kwa msimamo huu wa IGP nadhani hakuna siasa mpaka 2025.
Ndio maana tunapigania katiba mpya, tusifikiri ni suala la CHADEMA peke yao.Hii ndiyo Taarifa waliyoisambaza usiku huu, sasa ni dhahiri Jeshi la polisi linapaswa kuvunjwa na kuunda upya ama IGP afukuzwe kazi.
View attachment 1911792
USA pamoja na Ugaidi wa kweli uliofanyika Kabul bado wanaendelea na kazi waliyoianza , ndio iwe suala la Hamza ?
Watu wamechoka. Wakizingua nao wazinguliwe mpaka wakae sawa.Dawa yao ni hii tuuView attachment 1911875
Correction.
Kile kikundi kidogo cha wanasiasa waliokosa nafasi za madaraka ndio kitashughulikiwa bila huruma. Kile kilichopata ushindi wa Tsunami ruksa kufanya siasa.
Amandla...
Hili jeshi ni hasara kukiko faida. Hata likifutwa, sungusungu watafanya vizuri zaidi kuliko hiki jeshi lililojaa ugaidi.Heshimu jeshi lako, ndilo linakulinda na kufanya uishi kwa amani