Junius
JF-Expert Member
- Mar 11, 2009
- 3,181
- 139
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mjini Magharibi(RPC) Bakar Khatib Shaban, ametoa onyo kali kwa chama chochote kitakachojihusisha na fujo katika zoezi la kuboresha daftari la wapiga kura linalotazamiwa kuanza mkoani humo Jumatatu.
Kamanda Khatib, alisema hayo alipokuwa akiongea na wadau wa siasa ofisini kwake Mw'Madema.
Katika mkutano huo ni chama cha Mapinduzi tu ndicho kilichohudhuria mkutano huku chama cha wananchi CUF kikiripotiwa kutopata mwaliko wa mkutano huo.
Habari zaidi TBC1.
Kamanda Khatib, alisema hayo alipokuwa akiongea na wadau wa siasa ofisini kwake Mw'Madema.
Katika mkutano huo ni chama cha Mapinduzi tu ndicho kilichohudhuria mkutano huku chama cha wananchi CUF kikiripotiwa kutopata mwaliko wa mkutano huo.
Habari zaidi TBC1.