sunday jr
JF-Expert Member
- Oct 24, 2016
- 365
- 332
hiyo KAFU labda ya huko kwenu kwa buku saba sisi tunaijua CUFHivi kuna chama kinaitwa ACT wazalendo? Vyama ni CCM, CHADEMA NA KAFU, wengine ni vichaka vya wachovu!
hiyo KAFU labda ya huko kwenu kwa buku saba sisi tunaijua CUFHivi kuna chama kinaitwa ACT wazalendo? Vyama ni CCM, CHADEMA NA KAFU, wengine ni vichaka vya wachovu!
Wewe nadhani wa la 3 kama Mbowe, KAFU syn. To CUFhiyo KAFU labda ya huko kwenu kwa buku saba sisi tunaijua CUF
Issue itakuwa ni ile picha aliyopiga na watoto wa shule ya msingi wakiwa wamekaa chini huku akihoji bilioni zaidi ya 50 kujenga Airport huko Chato.Anayejua Zitto kasema maneno gani, tafadhali aniambie na mimi niyaseme ili kama mbwai na iwe mbwai
Hii comment bora kabisa january .CCM bila polisi ni wepesi kuliko toilet paper .
CCM=TISHUCCM bila polisi ni wepesi kuliko toilet paper .
Hivi kweli kama Jeshi la polisi linamtaka Zitto lina sababu ya kutomkamata? wangekuwa wana mhitaji wasingelishindwa kumkamata hata hapo kwenye huo mkutano.Jeshi la Polisi Lavamia Mkutano wa ACT Wazalendo kwa Lengo la Kumkamata Zitto Kabwe
Taarifa tulizopokea kutoka Kahama ni kuwa Jeshi la Polisi limevamia Mkutano wa Kampeni wa ACT Wazalendo katika Kata ya Isagehe kwa lengo la kumkamata Kiongozi wa Chama, ndugu Kabwe Z. Ruyagwa Zitto. Hata hivyo, bado hawajamkamata kwa kuwa alishaondoka katika eneo la mkutano mara alipomaliza kuhutubia lakini wanashilikia moja ya magari yaliyoko kwenye msafara wake.
Tunaamini hatua hii ya Jeshi la Polisi inatokana na msimamo wa chama chetu juu ya tishio la baa la njaa nchini na mambo mengine ya kitaifa, pamoja na kuzidiwa kwa CCM katika kampeni zinazoendelea katika Kata ya Isagehe.
Tunaendelea Kufuatilia kinachoendelea na tutaujulisha umma kila hatua. Katika hatua hii tunalaani hatua hizi za kuendelea kugandamiza Demokrasia na juhudi Ovu za Serikali ya CCM za kutaka kulazimisha Ushindi katika maeneo ambayo chama chao hakikubaliki.
Tunawasihi wanachama wetu na wananchi kwa ujumla waendelee kuwa watulivu tukiendelea kufuatilia jambo hili.
Ado Shaibu
Katibu - Kamati ya Itikadi, Mawasiliano ya Umma na Uenezi
Januari 21, 2017
utaipenda tu......Hii nchi siipendi kiviiile,nikipata fursa nachomoka
Na sie Kama nchi tusije tukafungiwa. Sanctions sio kitu kizuri.Heee! Wawakamate wote , tuendeleze mambo ya hapa kazi tu.
Kamata Mbowe, Lissu, Zitto, na wwngine fungia ndani kabisa....
Hapa kazi tu!
Alikuwa Kahama...Kata ya Isagehe.Zitto naye kahamia kwenye filamu