chinchilla coat
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 5,107
- 10,959
Jeshi la polisi mkoani Dodoma limesema litawasaka BAVICHA popote walipo mkoani Dodoma na kutoa onyo kwa wananchi waliowahifadhi pia kuwa watakamatwa
Kamanda wa polisi mkoa huo Lazaro Mambosasa amesema walio kuja Dodoma wanahesabiwa kuwa wamekuja kuvamia Dodoma kwa ajili ya kuhamamsisha wahalifu wenzao na kuchochea wananchi waichukie serikali yao kwa maneno ya kichochezi ya TUUNGANE TUMKATAE DIKTETA UCHWARA