kinyama nje
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 1,839
- 2,461
Hogging ni vijiwe vya umalaya tu niliingià humo kula pis Kali track imewamba tako Kama la Khumbu kuna mazoezi hapo
Ni jambo zuri.Alishindwa kusema,alitaka sana kusema,nilimwona akaogopa kusema corona akaweka kwenye mabano.Nikamsaidia kumalizia kwa sababu ya Corona.Kamanda wa polisi mkoa wa kipolisi Kinondoni afande Kibona amesema jeshi hilo mkoani kwake limesitisha vibali ilivyovitoa na vinavyotegemewa kutolewa kwa shughuli za maandamano, maonesho, jogging na mbio ikiwemo Haki marathon.
Vibali hivyo vimesitishwa kwa sababu za kiusalama.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Umesitisha? Kwani kuna 19Kamanda wa polisi mkoa wa kipolisi Kinondoni afande Kibona amesema jeshi hilo mkoani kwake limesitisha vibali ilivyovitoa na vinavyotegemewa kutolewa kwa shughuli za maandamano, maonesho, jogging na mbio ikiwemo Haki marathon.
Vibali hivyo vimesitishwa kwa sababu za kiusalama.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Haya ni maandalizi ya movie ya "NITATAWALA MILELE".Polisi waache mambo ya kitoto! Walitakiwa waseme wamesitisha kwa sababu ya hili janga la corona.
Na tunatarajia hata wale fisiemu walio tutishia nyau kutaka kumshinikiza yule mungu wao kutawala milele, wataifyata mikia yao kuanzia sasa.