ksny
JF-Expert Member
- Mar 30, 2016
- 1,693
- 1,657
Ikibidi kila askari akifanya kosa anajiuzulu waziri wa mambo ya ndani, mbona SSH atachoka kuteua mawaziri wa ndani.Inasikitisha sana!
Mzee Mwinyi akiwa Waziri wa mambo ya ndani alijiuzulu katika mazingira kama haya ya Mtwara!