Jeshi la Polisi limesema litafuatilia watumiaji vyombo vya usafiri watakaotoka katika sehemu za starehe katika sikukuu hizi kwa lengo la kuwapima viwango vya ulevi.
Wale watakaopatikana viwango vya juu vya ulevi na huku wakiendesha vyombo hivyo, watakamatwa na kufikishwa vituoni kwa hatua mbalimbali za kisheria.
Akiongea Kupitia TBC 1, Kamanda wa Kikosi cha usalama barabarani Afande Mpinga amewataka watumiaji wote wa vileo wenye vyombo vya usafiri kuwa na madereva au wakodi taxi.
Wale watakaopatikana viwango vya juu vya ulevi na huku wakiendesha vyombo hivyo, watakamatwa na kufikishwa vituoni kwa hatua mbalimbali za kisheria.
Akiongea Kupitia TBC 1, Kamanda wa Kikosi cha usalama barabarani Afande Mpinga amewataka watumiaji wote wa vileo wenye vyombo vya usafiri kuwa na madereva au wakodi taxi.