Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,600
- 217,997
Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania, Kamanda Misiime, amekanusha habari zilizoandikwa na vyombo mbali mbali vya Habari nchini kwamba askari wa jeshi hilo wana masilahi duni.
Amedai kwamba Awamu ya sita imeboresha sana maslahi ya askari wake kiasi cha kuwarahisishia maisha, Kamanda Misiime ametoa onyo kwa askari wanaoomba hela ya mafuta wanapoitwa na wanachi kukamata wahalifu.
Chanzo: EA TV
Amedai kwamba Awamu ya sita imeboresha sana maslahi ya askari wake kiasi cha kuwarahisishia maisha, Kamanda Misiime ametoa onyo kwa askari wanaoomba hela ya mafuta wanapoitwa na wanachi kukamata wahalifu.
Chanzo: EA TV